Barcelona Vs Real Madrid

naomba niwambe kuwa kwa madrid kushina nimelamba dola 100 toka kwa mdogo wangu..tuliwekeana..hahahhahaha..
 
kipofu kaona mwezi,, mmewachongea chelse adhabu ya kifo itakuwa juu yao...
 
naomba niwambe kuwa kwa madrid kushina nimelamba dola 100 toka kwa mdogo wangu..tuliwekeana..hahahhahaha..

mkuu!nimebana sana mapvmbv kila barca wakishika mpira yaani hapa nilipo mpaka yanauma...hongera...nitumie hata dola 5 nikanunue panadol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom