white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,306
- 13,267
jamani wakati mwingine tuwetunaweka ushabiki we2u pembeni,hii timu ya barca ni noma!kwani wengi walijua leo madrid atafanya mauaji ya haraiki!lakini mambo yamekwenda kinyume kabisa,na hasa huyu ronaldo ndio wakati mwingine anachangia,kwani huwa anakamia sana kama leo amekosa magoli 3 ya wazi kabisa! Mourino afanyekazi sana hadi apate dawa ya hawa jamaa,utadhani mazombi!na bado mesiah atazidi kuwa mesiah,leo ame assist magori 2,ye ronaldo ni papala tu kwenda mbele.