pole sana, ni wengi wanaoumwa ugonjwa huo na kwa tetesi nilizozipata ni kwamba tiba yake bado haijapatikana. Kuna daktari alisema baada ya miaka mitatu anaweza kupata dawa yake na kustaafu udaktari. Vp ugonjwa wa manphobiasis ulipatiwa kinga yake lini? Watu hawaugui kabisa siku hizi.
manphobiasis ilipata kinga na tiba yake tarehe 28 May 2011
Sasa mjomba hii ni dose au ndo kizidisha ugonjwa..................