Barazani Kwa Ahmed Rajab: Muungano wa Mkataba utaleta Umoja wa Afrika

Elizabeth,

Kama hiyo picha ni yako kweli ,Mashaallah . Sisi tuanataka ZANZIBAR huru, yenye mamlaka kamili. Kinachotuzuwia ni mfumo mzima wa Muungano. Kwamba Tanganyika (Tanzania) inatudhulumu haki zetu. Nyinyi mnautumia Muungano kwa maslahi yenu (Tanganyika). Lakini Zanzibar inanyimwa fursa nyingi ikiwemo kuwa na uhusiano wa moja kwa moja na Taasisi au Mashirika ya kimataifa.

Zanzibar, imezuwiwa kujiunga na OIC, pamoja na kwamba 99% ni waislamu. Leo hii makafiri kwa kutumia Mfumo Kristo (Muungano) ndio wamekuwa waamuzi wa mustakbali wa Zanzibar.

Hamaki ni muhimu katika kuonesha kuchukia kitu...Hii ni hatua ya mwanzo ya kuonesha kutopendezwa na jambo . Ni tabia ya mwanaadamu, nothing strange here.
There is something strange I guess! Unadhulumiwa bado unataka serikali 3, unanyimwa fursa bado unataka mkataba, Kuna 'makafir' bado unapokea hisani zao, unapoteza haki zao bado hujaamua tu kuondoka hadi upewe ruhusa! Is that not strange enough brother Takashi
 
There is something strange I guess! Unadhulumiwa bado unataka serikali 3, unanyimwa fursa bado unataka mkataba, Kuna 'makafir' bado unapokea hisani zao, unapoteza haki zao bado hujaamua tu kuondoka hadi upewe ruhusa! Is that not starange enough brother Takashi

Zanzibar inaweza kuwa nchi pekee duniani inayotaka kuwa na mkataba na 'koloni lake'!
 
There is something strange I guess! Unadhulumiwa bado unataka serikali 3, unanyimwa fursa bado unataka mkataba, Kuna 'makafir' bado unapokea hisani zao, unapoteza haki zao bado hujaamua tu kuondoka hadi upewe ruhusa! Is that not strange enough brother Takashi

Nguruvi3,

I will advise you to read article #49 by Nonda...The answer to your article is already there. I don't have to add anything more. There is nothing strange than having a pre-installed mind set ,worshiping a dead dictator .
 
Nguruvi3,

I will advise you to read article #49 by Nonda...The answer to your article is already there. I don't have to add anything more. There is nothing strange than having a pre-installed mind set ,worshiping a dead dictator .
Yakhe Baru baru mbona hujibu hoja ndugu yangu?

Hivi nani analalmika na anataka uhuru na mamlaka kamili? Maalim Seif si kaenda UN kudai kiti kwanini asidai Dodoma au ndani ya BLW? Wewe unasema 'makafir' wanawasumbua lakini unaandika hayo katika mwanga wa taa inayolipiwa na kafir.
Mshahara wa MZNZ unatoka kwa kafir, Wznz 350,000 wanaishi nchi ya makafir. Gharibu Bilal kapokea Bilioni 32 kuwasaidia waznz kutoka kwa makafir. Watoto wa ZNZ wanasoma bure kwa pesa za makafir.
Masheikh na waumini wa ZNZ wanalindwa na jeshi la makafir. Bajeti ya ZNZ inalipiwa nusu na makafir.
Makontena ya ZNZ yanauzwa kwa makafir, WZNZ wanachukua ardhi ya makafir.
The strange thing Waumini swafi wa ZNZ wanapokea kila kitu cha makafir hakuna wanachorudisha au kukataa.

Sasa wameng'ang'ania kuwa na serikali 3 na makafir, mkataba na makafir muungano wa EU na makafir, muungano wa Sengambia na Makafir, muungano wa Uswiss na makafi, muungano wa California na Madascar na makafir.
Hakuna anayetaka kuwaacha makafir.
Hapo ndipo penye mshangao!
 
Yakhe Baru baru mbona hujibu hoja ndugu yangu?

Hivi nani analalmika na anataka uhuru na mamlaka kamili? Maalim Seif si kaenda UN kudai kiti kwanini asidai Dodoma au ndani ya BLW? Wewe unasema 'makafir' wanawasumbua lakini unaandika hayo katika mwanga wa taa inayolipiwa na kafir.
Mshahara wa MZNZ unatoka kwa kafir, Wznz 350,000 wanaishi nchi ya makafir. Gharibu Bilal kapokea Bilioni 32 kuwasaidia waznz kutoka kwa makafir. Watoto wa ZNZ wanasoma bure kwa pesa za makafir.
Masheikh na waumini wa ZNZ wanalindwa na jeshi la makafir. Bajeti ya ZNZ inalipiwa nusu na makafir.
Makontena ya ZNZ yanauzwa kwa makafir, WZNZ wanachukua ardhi ya makafir.
The strange thing Waumini swafi wa ZNZ wanapokea kila kitu cha makafir hakuna wanachorudisha au kukataa.

Sasa wameng'ang'ania kuwa na serikali 3 na makafir, mkataba na makafir muungano wa EU na makafir, muungano wa Sengambia na Makafir, muungano wa Uswiss na makafi, muungano wa California na Madascar na makafir.
Hakuna anayetaka kuwaacha makafir.
Hapo ndipo penye mshangao!

Bw Nguruvi3,

Inaonekana una matatizo ya usingizi (hupati usingizi wa kutosha) nitakushauri chukua muda upate mapumziko ya kutosha. Umenichanganya mimi (Takashi) na Baru Baru. Kafir = ni mtu ambae si muislamu, kama wewe muislamu basi sio Kafir.

Tukirudi katika mada yetu, sisi tunasema mamlaka ya maamuzi ya kuvunja Muungano kwa amani mnayo nyinyi. Makao makuu ya chama tawala na serikali yako Tanganyika. Sisi raia wa kawaida tunaonesha kutopendezwa na Muungano na jinsi gani upande mmoja una udhulumu mwengine.

Hayo majibu ya kejeli tunayoyapata ni kudhihirisha kuwa hamjali madhila tunayoyapata. Lakini itafika muda tutakuwa hatuna cha kupoteza na hii ndio hofu yangu kubwa.

Waturuki wanao karibia milioni 2 wanaishi Ujarumani, JE! Ujarumani ifanye Muumgano na Uturuki kwa sababu ya hao watu milioni 2? ...Sisi tunasema tunataka mamlaka ya maamuzi ya Zanzibar yawe juu ya Wazanzibari wenyewe na sio vingunge kutoka Tanganyika. Hili hatutaacha kulidai mpaka kieleweke.

Hao wazanzibari 350,000 unao dai kuwa wako Tanganyika ,ikibidi kuondoka wataondoka , lakini hatuwezi kuuza nchi yetu Kwasababu kuna waZNZ 350,000 wanaishi Tanganyika.
 
Hassan Nasor Moyo naye kageuka kama Ahmed, anataka serikali3 au mkataba. Amefuta kauli yake kuwa muungano uvunjwe. Keshaonyeshwa ukweli ulipo akaambiwa 'itakula kwetu'. Takashi ndiye aliyebaki na kuvunja muungano.

LET ZN GO!
 
Hassan Nasor Moyo naye kageuka kama Ahmed, anataka serikali3 au mkataba. Amefuta kauli yake kuwa muungano uvunjwe. Keshaonyeshwa ukweli ulipo akaambiwa 'itakula kwetu'. Takashi ndiye aliyebaki na kuvunja muungano.

LET ZN GO!

Sisi "tuachiwe tupumue" bado tutaendelea kudai kuvunjika kwa Muungano.
 
Sisi "tuachiwe tupumue" bado tutaendelea kudai kuvunjika kwa Muungano.
Wewe na nani tena? Maalim Seif anataka serikali 3, Ahmed Rajab anataka mkataba usiojulikana wa kitu gani tena kasema muundo wa muungano uangaliwe, Nasor Moyo anataka mkataba na serikali 3, Ali Salehe yupo katika tume. Hao ndio wasemaji wa WZN, sasa wapi unaosema wanataka uvunjike?
 
Wewe na nani tena? Maalim Seif anataka serikali 3, Ahmed Rajab anataka mkataba usiojulikana wa kitu gani tena kasema muundo wa muungano uangaliwe, Nasor Moyo anataka mkataba na serikali 3, Ali Salehe yupo katika tume. Hao ndio wasemaji wa WZN, sasa wapi unaosema wanataka uvunjike?

Umesahau kama kundi kubwa la waZNZ sasa linaunga mkono Uamsho? Vyama ya siasa vimepoteza mvuto.
 
Umesahau kama kundi kubwa la waZNZ sasa linaunga mkono Uamsho? Vyama ya siasa vimepoteza mvuto.
Ahmed anasema kundi kubwa linaunga kono GUN (SUK)!
Mag3 ameuliza kitu hapo juu, tusaidie kidogo sheikh
 
takashi, kwa heshima na taadhima naomba unieleweshe Uamsho ni nini?

Uamsho ni JUMUIYA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAMU (JUMIKI)... Maelezo zaidi hapa Uamsho Zanzibar
Asante sana takashi, nimepitia huko na sasa kweli nimejua Uamsho ni nini na malengo yake...Uamsho imeelezwa kama jumuiya itakayowakumbusha Waislam kufanya mema na kuacha maovu, ambayo itawaunganisha Waislam na kurejesha heshima ya Uislam na ambayo itawakutanisha Waislam katika juhudi zao za pamoja kurudisha utukufu wa Uislam.

Hata hivyo hakuna popote katika malengo ama katiba walipotajwa Watanzania kwa ujumla wao wala Wazanzibari kwa ujumla wao. Sasa hapa napata tatizo kidogo, unapotamka madai kuwa sisi "tuachiwe tupumue" na bado tutaendelea kudai kuvunjika kwa Muungano halafu unasema huo ndio msimamo wa Uamsho, je hao sisi ndio Uamsho au Wazanzibari wote?

Umeendelea kudai kuwa kundi kubwa la waZNZ sasa linaunga mkono Uamsho na kwamba Vyama ya siasa vimepoteza mvuto, je Uamsho ndio imechukua nafasi ya vyama vya siasa? Je waliokuwa wanachama wa hivyo vyama wamejiondoa na sasa hawafanyi shughuli zozote za siasa? Kama hawajajiondoa ni kundi gani hilo la WaZnZ wanaounga mkono Uamsho?
 
Asante sana takashi, nimepitia huko na sasa kweli nimejua Uamsho ni nini na malengo yake...Uamsho imeelezwa kama jumuiya itakayowakumbusha Waislam kufanya mema na kuacha maovu, ambayo itawaunganisha Waislam na kurejesha heshima ya Uislam na ambayo itawakutanisha Waislam katika juhudi zao za pamoja kurudisha utukufu wa Uislam.

Hata hivyo hakuna popote katika malengo ama katiba walipotajwa Watanzania kwa ujumla wao wala Wazanzibari kwa ujumla wao. Sasa hapa napata tatizo kidogo, unapotamka madai kuwa sisi "tuachiwe tupumue" na bado tutaendelea kudai kuvunjika kwa Muungano halafu unasema huo ndio msimamo wa Uamsho, je hao sisi ndio Uamsho au Wazanzibari wote?

Umeendelea kudai kuwa kundi kubwa la waZNZ sasa linaunga mkono Uamsho na kwamba Vyama ya siasa vimepoteza mvuto, je Uamsho ndio imechukua nafasi ya vyama vya siasa? Je waliokuwa wanachama wa hivyo vyama wamejiondoa na sasa hawafanyi shughuli zozote za siasa? Kama hawajajiondoa ni kundi gani hilo la WaZnZ wanaounga mkono Uamsho?

Mag3,

Kama ulivyo elewa kuhusu Uamsho, vile vile nitakuongezea kidogo. Asilimia 99% ya Wazanzibari ni waislamu na Uamsho inasimama kutetea na kulinda maslahi ya waislamu wa Zanzibar. Katika nyanja zote ikiwemo masuala ya kisiasa. Maika ya karibuni , Uamsho imekuwa maarufu zaidi baada ya kuanza kumzungumzia masula ya kisiasa wazi wazi. Uislamu ni mfumo mzima wa maisha ya mwanaadamu , ikiwemo siasa, afya , biashara, ulinzi na mambo mengine ya kijamii.

Uamsho haijachukua nafasi yeyote ya vyama vya siasa , ila imekuwa ikiweka -pressure katika vyama vya siasa. Lengo ni kivikumbusha vyama vya siasa juu ya maslahi ya waislamu ,uislamu na Zanzibar kwa jumla. Baadhi ya wanachama wa vyama vya siasa wamepoteza imani katika vyama.

Unaweza ukawa mwana-CCM au mwana-CUF au CHADEMA at the same time ,ukawa mfuasi wa UAMSHO .
 
Mag3,

Kama ulivyo elewa kuhusu Uamsho, vile vile nitakuongezea kidogo. Asilimia 99% ya Wazanzibari ni waislamu na Uamsho inasimama kutetea na kulinda maslahi ya waislamu wa Zanzibar. Katika nyanja zote ikiwemo masuala ya kisiasa. Maika ya karibuni , Uamsho imekuwa maarufu zaidi baada ya kuanza kumzungumzia masula ya kisiasa wazi wazi. Uislamu ni mfumo mzima wa maisha ya mwanaadamu , ikiwemo siasa, afya , biashara, ulinzi na mambo mengine ya kijamii.

Uamsho haijachukua nafasi yeyote ya vyama vya siasa , ila imekuwa ikiweka -pressure katika vyama vya siasa. Lengo ni kivikumbusha vyama vya siasa juu ya maslahi ya waislamu ,uislamu na Zanzibar kwa jumla. Baadhi ya wanachama wa vyama vya siasa wamepoteza imani katika vyama.

Unaweza ukawa mwana-CCM au mwana-CUF au CHADEMA at the same time ,ukawa mfuasi wa UAMSHO .

Vizuri sana takashi...sasa Uamsho, kama kujitenga ndio suluhisho la matatizo yanayowakabili Waislam, je mnawapa ushauri gani Waislam wa Tanzania bara? Hilo moja, la pili je unapendekeza Zanzibar iwe Jamhuri ya Kiislam? Tatu, viongozi wote wakuu wa Tanzania, Raisi wawili na Makamu wa Raisi watatu wote ni Waislam, je Uamsho mnawaona hawa kama wasaliti kwa kuendeleza siasa na kushirikiana na makafir?
 
Last edited by a moderator:
Vizuri sana takashi...sasa Uamsho, kama kujitenga ndio suluhisho la matatizo yanayowakabili Waislam, je mnawapa ushauri gani Waislam wa Tanzania bara? Hilo moja, la pili je unapendekeza Zanzibar iwe Jamhuri ya Kiislam? Tatu, viongozi wote wakuu wa Tanzania, Raisi wawili na Makamu wa Raisi watatu wote ni Waislam, je Uamsho mnawaona hawa kama wasaliti kwa kuendeleza siasa na kushirikiana na makafir?

Mag3,

Nitajibu kwa kufauata rangi, (blue); Yeah, Uamsho inashawishi Waznz kujitenga katika Muungano. Muungano umeigeuza Zanzibar kuwa kama shamba la Bibi. Kila siku Zanzibar inapoteza uhalisi wake, kiutamaduni, silka ,hulka na haiba yake. Muungano umekuwa chaka la kufichia maovu. Sisi tunaunga mkono harakati za waislamu wa Tanganyika katika kutetea na kudai haki za waislamu . Kumekuwepo na udanganyifu mkubwa katika TZ, tunaambiwa kuwa Tanzania haina dini , lakini sio kweli.

(green); Mimi binafsi napendekeza Zanzibar iwe kama ilivyokua kabla ya Muungano. Jamuhuri ya watu wa Zanzibar.


(red); Ndio Marais wote na Makamo wao ni waislamu, lakini hawa watu wameapa kulinda na kutetea katiba ya Muungano (Mfumo kristo) kwa maslahi yao. Lengo kuu la Muungano ni kuifuta Zanzibar ,hii ndio iliyokuwa nia ya Nyerere . Aliamini kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika.
 
Mag3,

Nitajibu kwa kufauata rangi, (blue); Yeah, Uamsho inashawishi Waznz kujitenga katika Muungano. Muungano umeigeuza Zanzibar kuwa kama shamba la Bibi. Kila siku Zanzibar inapoteza uhalisi wake, kiutamaduni, silka ,hulka na haiba yake. Muungano umekuwa chaka la kufichia maovu. Sisi tunaunga mkono harakati za waislamu wa Tanganyika katika kutetea na kudai haki za waislamu . Kumekuwepo na udanganyifu mkubwa katika TZ, tunaambiwa kuwa Tanzania haina dini , lakini sio kweli.

(green); Mimi binafsi napendekeza Zanzibar iwe kama ilivyokua kabla ya Muungano. Jamuhuri ya watu wa Zanzibar.


(red); Ndio Marais wote na Makamo wao ni waislamu, lakini hawa watu wameapa kulinda na kutetea katiba ya Muungano (Mfumo kristo) kwa maslahi yao. Lengo kuu la Muungano ni kuifuta Zanzibar ,hii ndio iliyokuwa nia ya Nyerere . Aliamini kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika.
Takashi, kwa mujibu wako Uamsho inasimamia masilahi ya Waislam na Uislam kama mfumo mzima wa maisha. Hoja yako inakosa nguvu pale unaposema aslimia 99 ya wazanzibar ni waislam na kwa maana hiyo wingi ndio unaopelekea uwepo wa Uamsho na siyo hoja ya mfumo mzima wa maisha.

Wazanzibar sasa hivi wanasema GNU imewaunganisha wazanzibar kuwa kitu kimoja. Haya si maneno yangu hata Ahmed Rajabu na wewe mwenyewe(nina quote) umewahi kusema hivyo. Inakuwaje leo unasema wananchi waliounganishwa na vyama vyama hivi sasa wamekosa imani nao tena?

Tatu, kwa vile Uamsho inashinikiza vyama vya siasa kama ulivyosema, kwanini uamsho hao hao wasishinikize vyama hivyo vifanye mabadiliko ya ima kura ya maoni au mswaada wa kuvunja muungano?
Kwanini nguvu ya Uamsho istumike kuwashinikiza mawaziri na viongozi wanaoitumikia serikali ya muungano wajitoe ili kuonyesha wazi kuwa Zanzibar haitaki muungano.

Hoja yako ya kuhusu Nyerere kutaka visiwa hivyo vipotee haina miguu. Kama ingalikuwa hivyo basi serikali ya mapinduzi zanzibar isingekuwepo, BLW lisingekuwepo, Baraza la mapinduzi lisingekuwepo. Uwezo huo alikuwa nao.
Hoja inakosa miguu zaidi pale nitakapo kwambia baraza la mapinduzi lote akiwemo Hassan Nasor Moyo, Ali Hassan Mwinyi, Aboud Jumbe kwa uchache wametumikia serikali ya muungano chini ya yule yule aliyetaka kuifuta zanzibar Nyerere.
Hapo je!

Na mwisho, je unatumia kigezo gani cha kusema huyu ni Mwislam kiasi cha kupata asilimia 99?
 
(a) Takashi, kwa mujibu wako Uamsho inasimamia masilahi ya Waislam na Uislam kamamfumo mzima wa maisha. Hoja yako inakosa nguvu pale unaposema aslimia 99 ya wazanzibar ni waislam na kwa maana hiyo wingi ndio unaopelekea uwepo wa Uamsho na siyo hoja ya mfumo mzima wa maisha.

Wazanzibar sasa hivi wanasema GNU imewaunganisha wazanzibar kuwa kitu kimoja. Haya si maneno yangu hata Ahmed Rajabu na wewe mwenyewe(nina quote) umewahi kusema hivyo. Inakuwaje leo unasema wananchi waliounganishwa na vyama vyama hivi sasa wamekosa imani nao tena?

(b) Tatu, kwa vile Uamsho inashinikiza vyama vya siasa kama ulivyosema, kwanini uamsho hao hao wasishinikize vyama hivyo vifanye mabadiliko ya ima kura ya maoni au mswaada wa kuvunja muungano?
Kwanini nguvu ya Uamsho istumike kuwashinikiza mawaziri na viongozi wanaoitumikia serikali ya muungano wajitoe ili kuonyesha wazi kuwa Zanzibar haitaki muungano.

Hoja yako ya kuhusu Nyerere kutaka visiwa hivyo vipotee haina miguu. Kama ingalikuwa hivyo basi serikali ya mapinduzi zanzibar isingekuwepo, BLW lisingekuwepo, Baraza la mapinduzi lisingekuwepo. Uwezo huo alikuwa nao.
Hoja inakosa miguu zaidi pale nitakapo kwambia baraza la mapinduzi lote akiwemo Hassan Nasor Moyo, Ali Hassan Mwinyi, Aboud Jumbe kwa uchache wametumikia serikali ya muungano chini ya yule yule aliyetaka kuifuta zanzibar Nyerere.
Hapo je!

(C) Na mwisho, je unatumia kigezo gani cha kusema huyu ni Mwislam kiasi cha kupata asilimia 99?

Bw Nguruvi3

Nitajibu vifungu kwa kufuta herufi ; (a) Kumekuwepo na Kampeni nyingi dhidi ya Uamsho, ikiwemo kuihusisha na matokeo mbalimbali ya vururugu. Uamsho ni Taasisi ya kidini (Kiislamu) sasa hapa kumekuwa na dhana hasa kwa wale wenye kuipinga Uasmho, kwanini ijihusishe na siasa? Jibi ni kwamba , uislamu ni mfumo mzima wa maisha ya mwanaadamu, ikiwemo siasa. Kwahiya Uamsho watahubiri siasa pindi wakiona waislamu wananyimwa haki zao za kisiasa.

Kweli GNU imefanikiwa kuwaunganisha waZNZ kwa kiasi fulani. Kama utakumbuka hiyo GNU ilichaguliwa na asilimia 65% ya waZNZ , kwahiyo wapo ambao bado wanaipinga. Watu wanakosa imani na vyama vya siasa baada ya kuona vyama vimekua vikijali maslahi ya vyama dhaidi ya maslahi ya nchi. Hapo ndio imani kwa vyama inapo potea.

(b) Kama utafuatilia mihadhara ya Uamsho kabla ya Tume ya katiba mpya kuanza kazi. Kura ya Maoni ndio iliyokua kauli mbiu ya Uamsho na baadae kugeuka kuwa "TUACHIWE TUPUMUE" . Hii iliitia hofu chama tawala na baadae kuanza kutumi vyombo vya dola kukandamiza Uamsho. Mawaziri wote wa Zanzibar kwenye serikali ya Muungano ni CCM . Sera yao ni serikali mbili kuelekea moja kama vile Nguruvi3 na MMKJJ wanavyo amini.

(c) Vigezo vyote ambavyo source yake sio Wazanzibari wenyewe wanase asilimia 95% ya ZNZ ni waislamu ikiwemo kile cha wizara ya Utalii . Sisi wenyewe kwa vigezo vyetu tunasema ni 99%...
 
Baru baru Watanganyika ni waoga kwa lipi? Ukisoma makala ya Ahmed Rajab hakuna mahali ametaja kuvunja muungano badala yake amerudia mara 3 kuhusu kubadili muundo wa muungano.

Ukisoma zaidi amesema Watanganyika hawajishughulishi na suala la muungano kama Zanzibar hapa maana yake ni kuwa Watanganyika hawana cha kupoteza.

Heu jiulize nani ameshikia bango suala la serikali 3, mkataba, muungano wa EU, muungano wa Uswiss, muungano wa SeneGambia n.k? Kwanini ZNZ wanao ona wanaonewa wasiamue hatima yao kwa kauli moja wamebaki kuzunguka mbuyu na kuimba vibwagizo vya nyimbo wasizoweza kuzitetea?

Takalani Sesame na FJM wamesema kuwa licha ya ZNZ kupewa mbinu zote(desa) za kujitoa nakuwa dola huru mbona hakuna uthubutu wa kufanya japo kimoja?

Mbona hatusikii tena zile kauli za kuvunja muungano? badala yake tunasikia kubadili muundo, mkataba n.k.
Labda Baru baru unifahamishe, kwani mkataba mnaosema utahusu nini?


Ahali yangu.

Ninaposema uoga ndio huo inaobainisha na wewe umeweka wazi.

Kwa mujibu wa Maandiko yako Znz wanataka Serikali tatu. Je Tanganyika mna msimamo gani? mbona mumekuwa mabubu kwa hili? Na hilo ndilo ninalosema kuwa ni waoga sana katika maamuzi kwani muna manufaa mengi mnayopata kutokana na kujivika jho la muungano kiasi cha kufikia kuacha jina lenu la asli.

Poleni sana
 
Back
Top Bottom