Bagrameshi
Senior Member
- Jun 22, 2012
- 131
- 43
Mi nashangaa hawa jamaa walivyokaa kimya kuhusu nafasi za masomo vyuo vya ualimu, siku wakitoa nafasi hizo mara watu wakalipoti baada ya siku mbili. wengine waliokosa nafasi wanaanza kusota kutafuta vyuo vya binafsi.kama vipi watoe majina hayo watu wajue wanafanya nini. siyo ishu kabisa.