Baraza mseto la mawaziri

kama magamba watakubali serekali ya mseto labda rais wangu DR SLAA awe kiongozi na akaye ikuli magogoni
 
ili kuwamaliza kabisa kwenye ulingo wa siasa ni kuwapa cdm nafasi kwenye baraza la mawaziri, wakikataa tutajua kuwa hawaitakii mema Tanzania
 
ili kuwamaliza kabisa kwenye ulingo wa siasa ni kuwapa cdm nafasi kwenye baraza la mawaziri, wakikataa tutajua kuwa hawaitakii mema Tanzania

yaani hapa nategemea kuona chenga za kisiasa.....tusubiri tuone



KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
- Impossible understand kwamba tunafuata mfumo wa Demokrasia unaoitwa The Winner Takes All, kama wa USA so haiwezekani kabisa kuwa na Serikali ya mseto under mfumo tulionao sasa, unless tumeubadili!

William.

Mkuu will,

Kama serikali ya mseto una maana ugawanaji sawa au wowote anaolazimishwa rais basi hilo haliwezekani , lakini kama ni

JK kuteua mbunge wa upinzani katika baraza lake katiba haimzuii, labda niambie kifungu gani cha katiba kinamzuia rais?

Huenda sijaipitia vyema.
 
IFIKE MAHALI TUWE NA HILI KUWA UWAZIRI SI KAZI YA KUPEWA NA RAIS MTU AGOMBEE BUNGENI AWEKWE KWENYE KIYI MOTO ATUELEZE NI KWA NINI ANAOUMBA KUWA WAZIRI FULANI WAGOMBEE WATUELEZE MIKAKATI YAO YA KUONGOZA HIZO WIZARA, LAKINI HILI LA KATIBA LA KUMFANYA RAIS ATEUE MARAFIKI NA NDUGU ZAKE HALITAIFIKISHA NCHI HII PPOTE MAANA WATEULIWA WENGI NI WATU WENYE NJAA KALI YA KUTAKA KUJITAJIRISHA NA SIO KUWANEMESHA WADANGANYIKA!!!


KAMA TUTAENDELEA NA MTINDO HUU WA RAIS KUTEUA BASI, iSIWE DHAMBI MTU YEYEOTE ANAETAKA KUTEULIWA KUWA WAZIRI ANAWEZA KUMPIGIA SIMU AU KUMUOMBA RAIS AMTEUE ILI AONGOZE WIZARA FULANI NA AMWAMBIE KWA NINI ANATAKA IWE HIVYO,


PIA KWA KUWA KUNA WABUNGE WENGINE WANAINGIA BUMGENI KWA AJALI MFANO HAMIS KIGWAGALA WA NZEGA, BASI SI VIZURI MBUNGE KUWA WAZIRI MAANA INAPOTEZA MAANA HALISI YA BUNGE KAMA MHIMILI WA KUSIMAMIA SERIKALI NA HAS PALE UNAPOKUWA NA WABUNGE WENGI WA CCM AMBAO NI WAJINGA ZAIDI(ignorant and unconscious wa CIVICS) KULIKO KIGWAGALA. YEYE AMEJIWEKA WAZI LAKINI WENGINE NI ZAIDI YAKE

Ninakubaliana na wewe. Kwa hakika, kama Mhe Dkt (Kanali Mstaafu) JK angekuwa mbunifu angetumia njia hii kwa kiasi fulani bila kutumia bunge kwa vile katiba hajatoa mwanya huo. Angeweza kuwatangazia wabunge wote kuwa anayefikiri ana uwezo wa kuongoza wizara yo yote atume barua ikiwa na mapendekezo anavyofikiri angeboresha huduma. JK, Katibu Mkuu Kiongozi, waziri Mkuu na washauri wengine wawili waadilifu wanaunda kamati yao (ya ndani) ya kupitia maombi yote na kutoa alama bila upendeleo. Wale waliopata alama nyingi ndio wateuliwe ambapo hapo vigezo vya jinsia, dini, kabila, ukanda, rangi, mwelekeo wa kihisia za ujaamianaji, nk vinaweza kutumika kwa kuangalia lile kundi lililopata alama za juu. Cha muhimu ni kwamba wale wanaopewa uongozi wa wizara wawe na utashi na wawe wameuonesha kwa kuandaa waraka unaobaini vitu wanavyofikiria watafanya. Wakiishateuliwa utendaji wao upimwe kwa yale waliyoyaeleza na yakakubaliwa!
 
Hujanielewa hata chembe. Napinga kwa nguvu zangu zote kwa Chadema kuingia kwenye mseto na serikali ya kihuni ya Kikwete. Niseme mara ngapi? Kiu sana ya madaraka hapo iko wapi? Nisome taratibu.

Mkuu achana na huyo mchumia tumbo. Toka apigwe chini EALA, naona akili zake hazijakaa sawa...
 
Kwa nini Mkuu hujadili hoja za William badala yake unamjadili yeye na wazazi wake? Kwenye siasa hiyo ni dhambi, lakini kule Chit Chat unaweza kufanya hivyo (ikiwa wenyewe watalikubali).

Samahani Mkuu lakini nadhani huo si ustaarabu, hasa kwa JF na kwa Great Thinkers.
"Let's dicuss motions not emotions"

Lazima tuwachane kwa kuwaambia ukweli, kwani hawa vichwa maji wanafikili hii nchi ya kifalme, kulithishana kwa kwenda mbele, inaboa sana.
 
Mbona Obama alimbakiza secretary wa ulinzi wa kipindi cha Bush bwn Gates? Wht kind of winner takes all is William talking about? Si nasikia ulikuwa unakaa US, umesahau?

Achana nae huyo, he is good for nothing, amefijunza siasa kupitia JF.
 
- Impossible understand kwamba tunafuata mfumo wa Demokrasia unaoitwa The Winner Takes All, kama wa USA so haiwezekani kabisa kuwa na Serikali ya mseto under mfumo tulionao sasa, unless tumeubadili!

William.
Ila na wewe William unaongea kwa authority sana, au tayari una madaraka serikalini? Eti impossible! Hilo linawezekana wenyewe akina JK na wenzake wakitaka litakuwa.
 
- Sio lazima tuige kila kitu cha US na infact wao siasa sio uadui kama sisi, sasa ukiingia mseto tu maana yake sasa mnakuwa CUF, yaani dead! Tunahitaji upinzani ili kurekebisha mambo kama ilivyo sasa!William.
Ahaaaa!! kumbe!! Ndio maana mnawachinja kama kuku. Mnaipeleka nchi pabaya, siasa hakutakiwa kuwa uadui kiasi hiki mlichoanzisha. Sasa nimeelewa ukweli.
 
Back
Top Bottom