Baraza mseto la mawaziri

Kwa nini Mkuu hujadili hoja za William badala yake unamjadili yeye na wazazi wake? Kwenye siasa hiyo ni dhambi, lakini kule Chit Chat unaweza kufanya hivyo (ikiwa wenyewe watalikubali).

Samahani Mkuu lakini nadhani huo si ustaarabu, hasa kwa JF na kwa Great Thinkers.
"Let's dicuss motions not emotions"
mikaka mingine sijui vipi.yaani kaharibu hali ya hewa ile mbaya.
 
IFIKE MAHALI TUWE NA HILI KUWA UWAZIRI SI KAZI YA KUPEWA NA RAIS MTU AGOMBEE BUNGENI AWEKWE KWENYE KIYI MOTO ATUELEZE NI KWA NINI ANAOUMBA KUWA WAZIRI FULANI WAGOMBEE WATUELEZE MIKAKATI YAO YA KUONGOZA HIZO WIZARA, LAKINI HILI LA KATIBA LA KUMFANYA RAIS ATEUE MARAFIKI NA NDUGU ZAKE HALITAIFIKISHA NCHI HII PPOTE MAANA WATEULIWA WENGI NI WATU WENYE NJAA KALI YA KUTAKA KUJITAJIRISHA NA SIO KUWANEMESHA WADANGANYIKA!!!


KAMA TUTAENDELEA NA MTINDO HUU WA RAIS KUTEUA BASI, iSIWE DHAMBI MTU YEYEOTE ANAETAKA KUTEULIWA KUWA WAZIRI ANAWEZA KUMPIGIA SIMU AU KUMUOMBA RAIS AMTEUE ILI AONGOZE WIZARA FULANI NA AMWAMBIE KWA NINI ANATAKA IWE HIVYO,


PIA KWA KUWA KUNA WABUNGE WENGINE WANAINGIA BUMGENI KWA AJALI MFANO HAMIS KIGWAGALA WA NZEGA, BASI SI VIZURI MBUNGE KUWA WAZIRI MAANA INAPOTEZA MAANA HALISI YA BUNGE KAMA MHIMILI WA KUSIMAMIA SERIKALI NA HAS PALE UNAPOKUWA NA WABUNGE WENGI WA CCM AMBAO NI WAJINGA ZAIDI(ignorant and unconscious wa CIVICS) KULIKO KIGWAGALA. YEYE AMEJIWEKA WAZI LAKINI WENGINE NI ZAIDI YAKE

Nadhani hayo sasa ni mawazo ya katiba mpya, vuta subira wajumbe wa tume ya katiba watakufikia, ujimwage.
 
Chadema ni chama makini, mtego huo wa kijinga hauwezi kuwanasa. Na hata kama wakichaguliwa naamini hawakubali uteuzi huo wa kinafiki wenye lengo la kuua harakati.

Naamini wakichukua kichwa kutoka cdm kuingia kwenye baraza la mawaziri watakuwa wamekiimarisha chama zaidi kwa sababu wizara hiyo itakayoongozwa na CDm haitakuwa na kashfa yoyote.

Ila kwa kuwa CCM wana mchezo mchafu wanaweza kupandikiza watendaji wabovu ndani ya wizara hiyo ili kumharibia mtu wetu.
 
Mbona Obama alimbakiza secretary wa ulinzi wa kipindi cha Bush bwn Gates? Wht kind of winner takes all is William talking about? Si nasikia ulikuwa unakaa US, umesahau?
 
- Mbona mna kiu sana ya madaraka mpaka mko radhi kuingia mseto, si msubiri tu zamu ikifika wananchi watawachagua, mntaka kuua upinzani sasa mkishakuwa kama CUF mnakuwa sio Upinzani tena ati!, MSUBIRI TU HAMASISHENI WANANCHI KUNA SIKU ITAFIKA ILA KWA SASA BADO!


William.

Yeah naungana na wewe kabisa hakuna haja ya kukimbilia kuunda coalition government kwa sasa kwani huko ni kuua upinzani kwani upinzani dhaifu una result into serikali dhaifu! Pili nakubaliana na wewe kabisa kuwa ipo siku wapinzani wataingia madarakani na walio madarakani kuingia upinzani na kwa alama za nyakati siku hiyo ni less or equal to 2015!!!
 
Under a promising politic turnover that thing is impossible,cdm itachukua nchi 2015 hvy hamna haraka.
 
- Impossible understand kwamba tunafuata mfumo wa Demokrasia unaoitwa The Winner Takes All, kama wa USA so haiwezekani kabisa kuwa na Serikali ya mseto under mfumo tulionao sasa, unless tumeubadili!

William.

mkuu unaujua mfumo uliotumiwa na the winner wa zanzibar mwaka2010??au the winner takes it all except in zbar??
 
Serikali ya mseto inategemea katiba au makubaliano ya vyama husika.je kuna mahali kwenye katiba kunakosema rais atateua mawaziri ambao ni kutoka chama chake
 
jk ni mjanja sana,imagine zitto anapewa nafasi ya mkullo..je atakataa uteuzi wa rais?


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Ngoma ni pale itakapoidhinishwa na Rais atoe fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara na shule za kata.kwa Kigoma Bagamoyo nk atatoa lkn Sera za CDM ni Majimbo watamkubalia kweli? USA wana sera za muda mrefu za kuitawala Dunia, Obama kutokana na nasaba yake na Dini asingemkamata Osama na angeondoka Mashariki ya kati
Mseto ni vigumu hata akimjaribu Shibuda na Zito mm nashauri acheni Meli izame kwani huwezi dandia Meli uliyoondoka Ni Mawimbi Tu Yatapita subirini 2015 itakavyopita wima km treni ya bara mwiko kudandia kwa mbele
 
Serikali ya mseto inategemea katiba au makubaliano ya vyama husika.je kuna mahali kwenye katiba kunakosema rais atateua mawaziri ambao ni kutoka chama chake ambaoni wam
 
Kwa katiba yetu ya sasa haiwezekani kwa kuwa inamtaka rais kuchagua mawaziri miongoni mwa wabunge wa chama chenye wabunge wengi.

katiba iyo ni ipi na nchi gani?maana katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ibara ya 55 (4) inamtaka rais kuteua waziri na manaibu kutokana na wabunge walioko bungeni,ayo yako yanapatika wapi?tusaidie!
 
katiba iyo ni ipi na nchi gani?maana katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ibara ya 55 (4) inamtaka rais kuteua waziri na manaibu kutokana na wabunge walioko bungeni,ayo yako yanapatika wapi?tusaidie!

tusije kushangaa tukasikia kina sugu au zitto wamo ndani ya baraza jipya.nao wakazione changamoto


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
jk ni mtu makini hakuna cha mseto hapo,, alichofanya zitto ni sehemu ya wajibu wake
 
Kwa nini Mkuu hujadili hoja za William badala yake unamjadili yeye na wazazi wake? Kwenye siasa hiyo ni dhambi, lakini kule Chit Chat unaweza kufanya hivyo (ikiwa wenyewe watalikubali).

Samahani Mkuu lakini nadhani huo si ustaarabu, hasa kwa JF na kwa Great Thinkers.
"Let's dicuss motions not emotions"

Kweli kabisa inaonyesha jinsi huyu bwana alivyokosa uelekeo kawa mufilisi kisiasa
 
Ray LaHood ni Republican na sasa ndiye Secretary of Transportation...kwenye utawala wa Barack Obama (Democrat)

Norman Mineta ni Democrat na alikuwa Secretary of Transportation kwenye baraza la mawaziri kipindi cha utawala wa Raisi George W. Bush (Republican) kuanzia 2001 hadi 2006...

William Cohen ni Republican na alikuwa Secretary of Defense kwenye kipindi cha utawala wa Raisi Bill Clinton (Democrat) kuanzia mwaka 1997 hadi 2001...

HIvi kumbe Marekani hakuna mawaziri!? huku Tanzania tunawakumbatia mawaziri wa kazi gani?
 
Baraza La Mawaziri.

Waziri Mkuu - John Pombe Magufuli
Waziri wa Nchi - TAMISEMI - Filikunjombe
Naibu TAMISEMI - Anna Kilango Malecela
Naibu Waziri TAMISEMI Elimu - Hawa Ghasia

Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi - Aziz Abood

Waziri wa Kazi na Ajira - Januari Makamba
Naibu Waziri wa Kazi - John Komba

Waziri wa Sheria na Katiba - Celina Kombani

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki - Bernard Membe
Naibu wa Waziri wa Afrika Mashariki - Samia Salum

Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa - Makala
Naibu Waziri wa Kimataifa - John Mnyika

Waziri wa Viwanda - Aggrey Mwanry
Naibu Waziri Viwanda - Anna Tibaijuka

Waziri wa Afya - Dk. Hussein Mwinyi
Naibu wa Afya - Dk. Shekifu

Waziri wa Habari na Michezo na Msemaji wa Serikali - Mwigulu Mchemba
Naibu Waziri wa Habari na Naibu Msemaji wa Serikali - Lembeli

Waziri wa Maliasili na Utalii - Salehe Pamba

Waziri wa Fedha - Zitto Kabwe
Naibu Waziri wa Fedha - Majaliwa K. Majaliwa
Naibu Waziri wa Fedha -

Waziri wa Elimu - Dk. Kawambwa
Naibu Waziri wa Elimu -

Waziri wa Mambo ya Ndani - Augustino Mrema
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani - Tundu Lisu


Naendelea kupokea maoni ili niyafikishe kwa Mhe. JK kwa uamuzi maana siku hizi anahitaji msaada hata katika kupata Baraza lake.
 
Back
Top Bottom