Mimi nadhani tumwache Kikwete azame na meli yake. Nitasikitika na kushangaa kama Chadema watakubali kuingia kwenye serikali inayoongozwa na huyu jamaa.
- Impossible understand kwamba tunafuata mfumo wa Demokrasia unaoitwa The Winner Takes All, kama wa USA so haiwezekani kabisa kuwa na Serikali ya mseto under mfumo tulionao sasa, unless tumeubadili!
William.
Kwani Zanzibar ilikuwaje? Kwa magamba hakuna lisilowezekana. lakini nisingependa kuiona Chadema ikijichafua kwa kuingia katika meli inayozama.- Impossible understand kwamba tunafuata mfumo wa Demokrasia unaoitwa The Winner Takes All, kama wa USA so haiwezekani kabisa kuwa na Serikali ya mseto under mfumo tulionao sasa, unless tumeubadili!
William.
Kaka umerudi USA au ndo unakesha katika mkakati wa kumtoa kibajaj? Vipi siasa za bongo?sema na Mzee wako amuombe JK akuteue kamanda maana duh naskia EALA hukuwa hata na mia ya Kuhonga ukaambulia Kura za CHADEMA lini unarudi huku?
Kwani Zanzibar ilikuwaje? Kwa magamba hakuna lisilowezekana. lakini nisingependa kuiona Chadema ikijichafua kwa kuingia katika meli inayozama.
- Impossible understand kwamba tunafuata mfumo wa Demokrasia unaoitwa The Winner Takes All, kama wa USA so haiwezekani kabisa kuwa na Serikali ya mseto under mfumo tulionao sasa, unless tumeubadili!
William.
Ray LaHood ni Republican na sasa ndiye Secretary of Transportation...
Norman Mineta ni Democrat na alikuwa Secretary of Transportation kwenye baraza la mawaziri kipindi cha utawala wa Raisi George W. Bush kuanzia 2001 hadi 2006...
William Cohen ni Republican na alikuwa Secretary of Defense kwenye kipindi cha utawala wa Raisi Bill Clinton kuanzia mwaka 1997 hadi 2001...