Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #41
ujajibu hoja, kwanza nani kakuambia mimi mwanaume? ni ignore kesho mkishika nchi yatokee kama ya kenya?
ona tofauti yako wewe na SERA YA MAJIMBO hapo juu, hapa ni kujibu hoja au kukaa kimya. ulichoandika hapa hakiondoi ukweli kuwa uchanguzi wa mwenyekiti hamkufanya na hili linawadisqualify kuwa nyie ni chama cha demokarsia. ndio tumeuliza kwa nini msimteue tu huyo mwenyekiti wa vijana tuwaze uchaguzi mkuu?
you know what, mimi kuandika hapa hakuipunguzii chadema chochote , wala member 10000 wa JF wote wakipiga kura ni negligible comparing na milioni 40 huko.This challenge meant to make you improve and see reality.
yaliyotokea humo ndio mtaji wa CCM kupigiwa kura! sasa wewe gombana na watu humu ukose usingizi,
Anza kwanza kuimprove wewe and then sisi tutafuata!TOA BORITI NDANI YA JICHO LAKO NDIPO UTOE KIBANZI CHA CHADEMA..