Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Wakuu naomba nitoe case study ya kesi ya ndoa ambayo imeamuliwa jana na baraza la usuluhishi la kata
Taarifa muhimu
- ndoa ya kimila
- wamekaa zaidi ya miaka 7
- wana watoto watatu, wawili wana chini ya miaka 5. wawili wanakaa na mume, mmoja ananyonya na yuko na mama
yake
- wana nyumba 2, moja walikuwa wakiishi
- Gari 2
- Wana duka la consumables
- mke aliondoka mwaka jana kwenda kutibiwa kwa mganga wa jadi kutokana na ugonjwa uliokuwa unamsumbua na
kipindi hicho alikuwa mjamzito
- mume hakwenda kumwona tena mke hata alipojifungua
- Huku nyuma mume alioa, akauza gari na nyumba akaipangisha
Maamuzi: Talaka imetolewa na baraza la usuluhishi la kata kwa kuwa wao kwa pamoja mke na mume wamekubaliana kwa kuzingatia MKE ALITOROKA.
MGAWANYO WA MALI NA WATOTO
1. Duka, mume alipewa mtaji na kaka yake, hivyo mke hana chake
2. nyumba ni ya watoto MKE hana chake
3. Gari moja liliuzwa kwa kuwa lilikuwa la mkopo na liliopo pia ni la mkopo mke hana chake
4. Nyumba moja imepangishwa (waliyokuwa wanaishi)
5. Nyumba ya pili anakaa na mke wake mpya
6. Atapewa cherehani moja, sh. 275,000 za kuanzia maisha, kabati na vyombo vya ndani
7. Atakuwa anapewa sh. 10,000 kila mwezi excluding matibabu
NAOMBA USHAURI KUHUSU UHALALI WA BARAZA LA KATA KUTOA TALAKA NA VIGEZO VYA KUGAWA MALI VILIVYOTUMIKA KAMA NI HALALI
Taarifa muhimu
- ndoa ya kimila
- wamekaa zaidi ya miaka 7
- wana watoto watatu, wawili wana chini ya miaka 5. wawili wanakaa na mume, mmoja ananyonya na yuko na mama
yake
- wana nyumba 2, moja walikuwa wakiishi
- Gari 2
- Wana duka la consumables
- mke aliondoka mwaka jana kwenda kutibiwa kwa mganga wa jadi kutokana na ugonjwa uliokuwa unamsumbua na
kipindi hicho alikuwa mjamzito
- mume hakwenda kumwona tena mke hata alipojifungua
- Huku nyuma mume alioa, akauza gari na nyumba akaipangisha
Maamuzi: Talaka imetolewa na baraza la usuluhishi la kata kwa kuwa wao kwa pamoja mke na mume wamekubaliana kwa kuzingatia MKE ALITOROKA.
MGAWANYO WA MALI NA WATOTO
1. Duka, mume alipewa mtaji na kaka yake, hivyo mke hana chake
2. nyumba ni ya watoto MKE hana chake
3. Gari moja liliuzwa kwa kuwa lilikuwa la mkopo na liliopo pia ni la mkopo mke hana chake
4. Nyumba moja imepangishwa (waliyokuwa wanaishi)
5. Nyumba ya pili anakaa na mke wake mpya
6. Atapewa cherehani moja, sh. 275,000 za kuanzia maisha, kabati na vyombo vya ndani
7. Atakuwa anapewa sh. 10,000 kila mwezi excluding matibabu
NAOMBA USHAURI KUHUSU UHALALI WA BARAZA LA KATA KUTOA TALAKA NA VIGEZO VYA KUGAWA MALI VILIVYOTUMIKA KAMA NI HALALI