Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Ndugu wanaJf
wakati mataifa ya magharibi walipoanza kuishambulia Libya,nililaani mashambulizi na nilipost thread nikilaani mashambulizi hayo,pamoja na upinzani mkali nilioupata,bado naendelea kulaani kwa kuwa yamekiuka sheria za kimataifa,kwa kuwa Libya haijaishambulia nchi yoyote.kwa mujibu wa sheria ya UN kifungu cha 2 (7) ni marufuku kwa taifa lolote kulishambulia taifa lingine kijeshi.
sote ni mashahidi kuwa waandamanaji wa libya,au tunisia na kwingineko hawakuomba msaada wa mataifa ya nje,
Siafiki hata kidogo wala siamini kuwa raia wa libya ni bora kuliko wa Ivory coast,Bahrain,Somalia,na kwingineko wanapopigana..mbona wakati Waisraeli wameua zaidi ya watoto 300 wa kipalestina hamna hatua zozote zilizochukuliwa?
Kamwe haijawi kuwa sera ya America kuwapenda raia hata kutumia gharama kubwa kiasi hiki.Ghadafi ametoa mwito wa kukaa meza moja wamekataa...
huu ni ubeberu mpya africa na
Ni wazi mifumo ya afya,elimuni bora kuliko ya magharibi amefanya kile ambacho kimewashinda
lazima tupinge kwa nguvu zetu wote
Nalaani na nitaendelea kulaani mashambulizi haya ambayo ni ukiukwaji wa sheria za kimataifa
wakati mataifa ya magharibi walipoanza kuishambulia Libya,nililaani mashambulizi na nilipost thread nikilaani mashambulizi hayo,pamoja na upinzani mkali nilioupata,bado naendelea kulaani kwa kuwa yamekiuka sheria za kimataifa,kwa kuwa Libya haijaishambulia nchi yoyote.kwa mujibu wa sheria ya UN kifungu cha 2 (7) ni marufuku kwa taifa lolote kulishambulia taifa lingine kijeshi.
sote ni mashahidi kuwa waandamanaji wa libya,au tunisia na kwingineko hawakuomba msaada wa mataifa ya nje,
Siafiki hata kidogo wala siamini kuwa raia wa libya ni bora kuliko wa Ivory coast,Bahrain,Somalia,na kwingineko wanapopigana..mbona wakati Waisraeli wameua zaidi ya watoto 300 wa kipalestina hamna hatua zozote zilizochukuliwa?
Kamwe haijawi kuwa sera ya America kuwapenda raia hata kutumia gharama kubwa kiasi hiki.Ghadafi ametoa mwito wa kukaa meza moja wamekataa...
huu ni ubeberu mpya africa na
Ni wazi mifumo ya afya,elimuni bora kuliko ya magharibi amefanya kile ambacho kimewashinda
lazima tupinge kwa nguvu zetu wote
Nalaani na nitaendelea kulaani mashambulizi haya ambayo ni ukiukwaji wa sheria za kimataifa