WanaJamii kuna nyeti ambayo inakuja na inahusiana na mambo ya usalama wa nchi...nadhani media za Tanzania zitaipick tuu quite soon au mnao scan mambo ya nje mtakuwa mshakiona hicho chuma kinachokuja na moja kwa moja hawa watu wa National Security Council ya Tanzania itabidi watoe tamko sasa kabla hatujaenda mbali kuna mtu anajua:
1. Je limeundwa lini?
2. na wajumbe wake wanapatikana vipi?
3. Je Zanzibar wamo au hawamo?
4. Je inabidi wawe na qualifications zipi?
5. wanakutana mara ngapi?
6. mwenyekiti wao ni nani?
7. Katibu wao ni nani?
8. Wanaripoti kwa nani?
9. je washatoa maamuzi yepi zazito yanayohusu nchi hii tangu liundwe?
10. je ripoti zao (gongo la mboto, pirates, meli kuzama zanzibar etc) ziko wapi?
11. je website yao ni ipi?
1. Je limeundwa lini?
2. na wajumbe wake wanapatikana vipi?
3. Je Zanzibar wamo au hawamo?
4. Je inabidi wawe na qualifications zipi?
5. wanakutana mara ngapi?
6. mwenyekiti wao ni nani?
7. Katibu wao ni nani?
8. Wanaripoti kwa nani?
9. je washatoa maamuzi yepi zazito yanayohusu nchi hii tangu liundwe?
10. je ripoti zao (gongo la mboto, pirates, meli kuzama zanzibar etc) ziko wapi?
11. je website yao ni ipi?