wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Soma hapo chini:
Hawa jamaa wanadata base na info zote kuhusu usalama wa nchi hii. Iweje leo wanataka kuleta wageni wachunguze chanzo cha hili janga?
Our Commander in Chief jana katamka wazi kuwa silaha zetu muhimu na kubwa zilikuwa zinahifadhiwa hapo GMBOTO....then hawa waheshimiwa wa BLU wanasema right, lets just bring bunch of foreigners wachunguuze moto kisha watushauri cha kufanya afterwards. Whats the point ya kuwapeleka watu wasome nje ya nchi?
I hope common sense will privail and i hope TPDF wata wa overule hawa so called baraza la usalama...if anything mimi naona hii kauli hapo chini ina border TREASON
13. Baraza la Usalama limeamua kuwa, Serikali ya Tanzania iombe nchi rafiki zisaidie katika uchunguzi wa chanzo cha tukio hili na kushauri namna bora zaidi ya kuimarisha usalama na uhifadhi wa mabomu na risasi katika maghala ya Jeshi letu kote nchini.
Chanzo: Ikulu Mawasiliano: RAIS KIKWETE AZUNGUMZIA KUHUSU MAAFA YA GONGO LA MBOTO
Hivi kuna mtu anajua hili baraza la Usalma lina comprise of WHO & WHO na website yao inasemaje?
I certain they must have compromised our National Security kwenye maazimio yao mengine
This is not ajali ya gari you ******...this is moto kwenye ghala la silaha zetu chini ya TPDF and why in the world would you want a foreign nation waje kutuchunguzia chanzo na atupe recommendation?
ahhhh sometimes mtu unakaa one fence weee lakini kwa hili inabidi uibuke tuuu
Hawa jamaa wanadata base na info zote kuhusu usalama wa nchi hii. Iweje leo wanataka kuleta wageni wachunguze chanzo cha hili janga?
Our Commander in Chief jana katamka wazi kuwa silaha zetu muhimu na kubwa zilikuwa zinahifadhiwa hapo GMBOTO....then hawa waheshimiwa wa BLU wanasema right, lets just bring bunch of foreigners wachunguuze moto kisha watushauri cha kufanya afterwards. Whats the point ya kuwapeleka watu wasome nje ya nchi?
I hope common sense will privail and i hope TPDF wata wa overule hawa so called baraza la usalama...if anything mimi naona hii kauli hapo chini ina border TREASON
13. Baraza la Usalama limeamua kuwa, Serikali ya Tanzania iombe nchi rafiki zisaidie katika uchunguzi wa chanzo cha tukio hili na kushauri namna bora zaidi ya kuimarisha usalama na uhifadhi wa mabomu na risasi katika maghala ya Jeshi letu kote nchini.
Chanzo: Ikulu Mawasiliano: RAIS KIKWETE AZUNGUMZIA KUHUSU MAAFA YA GONGO LA MBOTO
Hivi kuna mtu anajua hili baraza la Usalma lina comprise of WHO & WHO na website yao inasemaje?
I certain they must have compromised our National Security kwenye maazimio yao mengine
This is not ajali ya gari you ******...this is moto kwenye ghala la silaha zetu chini ya TPDF and why in the world would you want a foreign nation waje kutuchunguzia chanzo na atupe recommendation?
ahhhh sometimes mtu unakaa one fence weee lakini kwa hili inabidi uibuke tuuu