Baraza la mitihani wawajibishwe

Kweli si somo la maarifa ya uislamu pekee ambalo limechakachuliwa bali masomo yote kwa vijana wa kiislamu huhujimiwa kila mwaka.Naona wale ambao hubeza hii hoja wote wamenywea.Na bado,tunaendelea kukusanya ushahidi kuonyesha jinsi ambavyo NECTA hutoa mitihani kabla kwa shule za kigalatia na kwa kuanzia tutaanza na St Francis Mbeya.Muwe na subra soon ukweli utakuwa wazi.
 
Imefika wakati majina yasitumike kwenye mitihani tutumie tu namba ili kukomesha hila zozote zitakazo jitokeza.

Nifahamuvyo mimi kwenye mitihani huwa tunatumia namba wala siyo majina ya watahiniwa sasa huko kuoneana kimajina kunatoka wapi????
 
Kweli si somo la maarifa ya uislamu pekee ambalo limechakachuliwa bali masomo yote kwa vijana wa kiislamu huhujimiwa kila mwaka.Naona wale ambao hubeza hii hoja wote wamenywea.Na bado,tunaendelea kukusanya ushahidi kuonyesha jinsi ambavyo NECTA hutoa mitihani kabla kwa shule za kigalatia na kwa kuanzia tutaanza na St Francis Mbeya.Muwe na subra soon ukweli utakuwa wazi.

hakuna kitu kama hicho!!! Usipoteza muda, soma sana utafaulu tu usiposoma ni kujidanganya kufaulu bila jitihada!!!
 
Hapa suala sio kurekebisha matokeo km ni hivyo hata mawaziri waliotimuliwa juzi rais angewaacha wajirekebishe watendaji wa baraza la mitihani hawafai kuwepo kwenye ofisi inayohudumia watu wa dini mbalimbali kwani wameonyesha waziwazi walivyo wadini wakiachwa watalifikisha pabaya taifa hili kwani kwa sasa kila mtu anajua haki yake na yuko tayari kuidai pindi inapoonekana koporwa mr kamugisha una maneno ya kiccm2 amka boss watu kwasasa wamepiga hatua kubwa mno kuliko unavyojua!

Rufani ni haki ya mtahiniwa, sasa kama mmekata rufaa namkatendewa haki tatizo liko wapi?? Rufaa haiko NECTA tu hada tunaosoma vyu Vikuu usiporidhika na matokeo yako unakata rufaa na ikibainika kuwa kuna kosa linarekebishwa, sawa na ilivyofanyika kwa somo la elimu ya dini ya kiislamu sasa UDINI unatoka wapi???
 
Hakuna sababu ya Baraza la mitihani kuwajibishwa bali mitihani ya kidini isiingizwe katika kuamua ufaulu wa mtu, na iondolewe mara moja, maana sisi hatutafuti wasomi wa kidini bali tunatafuta wataalamu watakaotusaidia kujikomboa kiuchumi katika nyaanja zote isipokuwa dini, fikiria kuna wengine hatupo katika dini zenu hizo ambazo sidhani kama kuna ulazima wa kufanyiwa mitihani, maana dini ni maisha wala si mitihani ya karatasi. Ndiyo maana mie muda wote najiepusha na mambo kama hayo. Ondoeni mitihani hiyo, iacheni ifanyike huko huko kunakohusika.
 
Hakuna sababu ya Baraza la mitihani kuwajibishwa bali mitihani ya kidini isiingizwe katika kuamua ufaulu wa mtu, na iondolewe mara moja, maana sisi hatutafuti wasomi wa kidini bali tunatafuta wataalamu watakaotusaidia kujikomboa kiuchumi katika nyaanja zote isipokuwa dini, fikiria kuna wengine hatupo katika dini zenu hizo ambazo sidhani kama kuna ulazima wa kufanyiwa mitihani, maana dini ni maisha wala si mitihani ya karatasi. Ndiyo maana mie muda wote najiepusha na mambo kama hayo. Ondoeni mitihani hiyo, iacheni ifanyike huko huko kunakohusika.

Mitihani ya dini iondolewe katika kujumuisha division ya mtahiniwa. Hata kama NECTA italisimamia, alama zake zisijumuishe kwenye ku-calculate div. Marks za dini zikawasaidie huko mbele wanakofikiri. Kama NECTA ina mpango wa kuwahujumu, ingehujumu masomo ya unga (PCM, PCB, HGL nk.)

Tutumie busara, hivi kama alama za somo la economics ni E au F, na A ya Dini bado itasaidia kusoma Islamic Economic. Ebu tuwe realistic hapa. Tuache propaganda, na kupandikizwa mambo yasiyokuwa na msingi.

Hata NECTA wakiwajibishwa, watakuja malaika? kosa walilofanya, anybody can do. hawakuwa wabishi wamerudi wakapitia matokeo na kubaini where the mistake happens, wamefanya marekebisho.
Thanks God, Marekebisho hayataathiri hata kuchaguliwa kwenu kwenye Vyuo vikuu. Kama issue ni vyuo vya Kiislam hoja ya msingi ni tatizo la nchi zima litakuwa taken care.

Tuache kupandikiza chuki kwa kizazi kichanga, kama huna alama nzuri, vuta kamba soma, na sio kujustify weakness zako na kueleza umma kuna kundi linaonewa, hii hainiingii akinili..
 
wanajf juz kuna mtu alianzisha thread kuhusu baraza la mitihani kuwafanyia uhuni wanafunzi waliomaliza kidato cha sita mwaka huu ambao walifanya somo la maarifa ya kiislam lakini kwasababu ya ubaguzi wa kidini walionao baadhi yetu walimshambulia sana bila kujua kuwa jamaa alikuwa na uhakika, sasa imedhihirika necta tayari wamebadilisha matokeo hayo lakini tayari wameathiri mpangilio mzima wa matokeo ya mithani kwani baadhi ya shule zilionekana kuwa na div 0 na kwa sasa hazina kabisa,sasa kweli necta walishindwa kugawanya hizo alama au ni hila za kuwakatisha tamaa wanafunzi wa kiislam na kuchafua shule za kiislaam?

Zitaje hizo shule ndio tuanzie hapo. Bila ya kutaja sioni sababu ya kuchangia. Mbona Mudy guy hajasoma nyie waislam mnang'ang'ania nini?
 
Ndugu yangu kibri si maungwana adabu ni sifa njema labda haya huenda haya yakakusaidia japo kidogo na utakaporudi tena utarudi na heshima :

"In 1987 the then Minister for Education and Culture the late Professor Kighoma Malima discovered that deserving Muslim candidates were deliberately being denied access to secondary education.(It is curious to note that throughout his 25 - year rule, Nyerere had always appointed a Christian to head the Ministry of Education and a Muslim to head the Ministry of Home Affairs.)

The trick used by the Christian dominated panel was to select the candidates after decoding their examination numbers. Professor Malima directed the panel to select and announce the results using examination numbers only. In that year the percentage of selected Muslim candidates rose by 40 per cent! He alerted the president about the matter and suggested a thorough investigation be carried out. He was branded "Mujahidina" and removed from that portfolio and the selection panel reverted to its old system. He repeated those charges at a public rally in Dar es Salaam in 1995. Any government which is "fiercely secular" would certainly wish to know the truth of the matter.

Apparently there was no need for the government to investigate the obvious. On July 7, 1999 Muslim leaders paid a courtesy call to President Mkapa at the State House in Dar es Salaam. In the course of their informal discussions Muslims raised the issue of decoding examination numbers. According to my informant the president was clearly surprised. When he asked his Minister for Education and Culture who also attended the talks, the minister confirmed the Muslims' account. As a result one of the numerous but supposed "isolated" cases came to light in January 1999.

A Muslim candidate one Adam Ramadhani Kindenge of Gilman Rutihinda primary school was not selected.

His father disputed the fairness of the selection process and demanded to be shown the scripts. It was anembarrassing case. Christian candidates with lower points were selected and Adam who had higher points was left out. No one in the ministry could hazard an explanation. The case was disconcerting in view of Kitwana Kondo's question in Parliament. But it was a case which like others in the past the ministry managed to suppress. For details see Ramadhani Kindenge's two letters to the Ministry of Education and Culture (1999).

Despite protests from Muslims, the same ministry had also successfully managed to hide from many unsuspecting Tanzanians another discomfiting letter bearing Ref. No. E10/MMC-1/183 of 9 June, 1998 from the Morogoro Municipal Education Officer directing all Headteachers to submit to that office the names of all Standard Seven Catholic students! When a weekly Muslim newspaper An-Nuur confronted the ministry with that letter the spokesperson was too embarrassed to comment. He promised however to investigate the matter. A time-tested device of dropping a hot potato!

Adam Kindenge's case above is not an isolated one. Muslims have a long list of such cases. The name of a selected Muslim candidate, Kopa Abdallah of Kichangani primary school, in Kilosa was in 1983 unfairly cancelled out in favour of a Christian, Mr. Anthony Samirani who scored less points. Mr. Kopa is today employed as a driver. Was it merely a case of corruption? In his long career as a Secondary School Headmaster and later as a high ranking civil servant, Mr. Bori Lilla was twice confronted with incredible discoveries of religious discrimination in the country. Mr. Bori Lilla is today one of the highly respected Muslim elders in the country and is affectionately referred to as "Mzee Lilla".

He told me and he has repeated this account to many others that he was once in the marking and selection committee and was mistaken for a Christian. After marking the scripts he decoded and recorded the names according to their pass marks, and there were as many Muslims as there were Christians. A fellow panelist who was a Christian saw the list and was very furious, he said in a loud voice, "Wewe huoni kama orodha yako ina Waislamu wengi sana, au wewe ni mgeni nini hapa?" (Don't you see that your list has so many Muslims, or could it be that you are a new comer here?). Mzee Lilla says that he responded in an equally loud voice, "Mimi siyo mgeni, mimi ni Muislamu". The room was gripped with an eerie silence.

Mzee Lilla witnessed the second revelation of deliberate religious discrimination when he was in the selection panel for allocating High School places for deserving Ordinary Level candidates. It was during the Islamic holy month of Ramadhan and they had almost finished their task when Christian panelists broke for lunch. The panel had only two Muslims who stayed behind. The other Muslim panelist, Mr. Abdulrahman Mwalongo, was writing something and needed a ruler which was in the Chairperson's draw.

When he opened it he found along with the ruler, a list of 25 First class Muslim candidates who had not yet been allocated any place in High Schools while all their Christian counterparts had already been placed.

And the panel's chairperson who was also a Reverend had not even hinted that there was such a list.

Mwalongo is from the Hehe ethnic group. And the Hehe are known in Tanzania as fierce warriors. When their colleagues returned, Mwalongo reminded the chairperson about the list in his draw. He brushed aside Mwalongo's concern saying that those candidates would be taken care of later.

Quite unexpectedly,Mwalongo banged his table so forcefully that all members were taken aback. Shaking with rage Mwalongo told the chairperson no business would take place in that room before the allocation of the 25 Muslim students. The chairperson backed down and those students were placed. In July 1997 I cross-checked Mzee Lilla's account with Mwalongo himself. He confirmed the story. As I am writing this book, both of them are still alive and can easily be contacted for further details."

Baada ya kuonekana ukweli huu katika kitabu cha Prof. Njozi serikali ya Benjamin Mkapa ilikipiga marufuku. Kuwa na kitabu hicho ni kosa la jinai.

una lako jambo, Unapaste tu, safari bado ni ndefu. acha kupandikiza chuki, kwa kunukuu taarifa husizozifanyia tathmini.
 
Mitihani ya dini iondolewe katika kujumuisha division ya mtahiniwa. Hata kama NECTA italisimamia, alama zake zisijumuishe kwenye ku-calculate div. Marks za dini zikawasaidie huko mbele wanakofikiri. Kama NECTA ina mpango wa kuwahujumu, ingehujumu masomo ya unga (PCM, PCB, HGL nk.)

Tutumie busara, hivi kama alama za somo la economics ni E au F, na A ya Dini bado itasaidia kusoma Islamic Economic. Ebu tuwe realistic hapa. Tuache propaganda, na kupandikizwa mambo yasiyokuwa na msingi.

Hata NECTA wakiwajibishwa, watakuja malaika? kosa walilofanya, anybody can do. hawakuwa wabishi wamerudi wakapitia matokeo na kubaini where the mistake happens, wamefanya marekebisho.
Thanks God, Marekebisho hayataathiri hata kuchaguliwa kwenu kwenye Vyuo vikuu. Kama issue ni vyuo vya Kiislam hoja ya msingi ni tatizo la nchi zima litakuwa taken care.

Tuache kupandikiza chuki kwa kizazi kichanga, kama huna alama nzuri, vuta kamba soma, na sio kujustify weakness zako na kueleza umma kuna kundi linaonewa, hii hainiingii akinili..

ni kwa sababu hujui ulisemalo...mara hii wamebadilisha matokeo sawa je! Una uhakika jambo hili halijawahi kutokea kabla? Think my bro coz we've got evidences to prove that
 
Imefika wakati majina yasitumike kwenye mitihani tutumie tu namba ili kukomesha hila zozote zitakazo jitokeza.

kabisa - hata majina ya shule yasitokee ziwe namba tu. Na coding na decoding ifanywe Ikulu mahala patakatifu. Itasaidia watu kusoma kwa bidii bila kufanya ajizi.
 
kabisa - hata majina ya shule yasitokee ziwe namba tu. Na coding na decoding ifanywe ikulu mahala patakatifu. Itasaidia watu kusoma kwa bidii bila kufanya ajizi.

du kweli dunia ina mambo. Ikulu imekosa kazi kiasi hiki???
Kila kitu mpaka kifanyo=ike ikulu ndio uamini???
 
Hii ni taarifa na si
malalamiko ! Imeletwa kwa wale wasiofahamu kama wewe. Waliolalamikiwa
wamefanya marekebisho. Umeelewa sasa eeehn !?

inaeleweka. ila sioni tatizo. makosa huwa yanakuweko na kusahihishwa kila mwaka!
 
Dawa ni kuayondoa haya masomo ya kidini NECTA..........Yabakie yanakohusika.........nchi haiwezi kudai haina dini halafu inatunga mitihani ya kidini!
 
this is serious
Hawa watu mbona wanatuondelea uaminifu kwao, maana kama wameweza kuchakachua matokea ya Islamic knowledge kwanza kwa kipindi gani mpaka imekuja kugundulika? Pia tutaamini vipi kama masomo mengine hayaja chakachuliwa, pia upo uwezekano wakafaulishwa watu wasio na sifa ambao ndio wataenda vyuo kwasababu hawana sifa hawa ndo watakuja kutoa maamuzi mabovu ya nchi.
Hiki ni kilio tunapaswa tulie wote, siyo rahisi tu kuona hili jambo nilawaislam waliochakachuliwa ni janga la taifa, taasisi yenye dhamana ya kusimamia elimu nchini inafanya uhuni kiasi hiki na watu tunaona poa
 
this is serious
Hawa watu mbona wanatuondelea uaminifu kwao, maana kama wameweza kuchakachua matokea ya Islamic knowledge kwanza kwa kipindi gani mpaka imekuja kugundulika? Pia tutaamini vipi kama masomo mengine hayaja chakachuliwa, pia upo uwezekano wakafaulishwa watu wasio na sifa ambao ndio wataenda vyuo kwasababu hawana sifa hawa ndo watakuja kutoa maamuzi mabovu ya nchi.
Hiki ni kilio tunapaswa tulie wote, siyo rahisi tu kuona hili jambo nilawaislam waliochakachuliwa ni janga la taifa, taasisi yenye dhamana ya kusimamia elimu nchini inafanya uhuni kiasi hiki na watu tunaona poa


Kwa mwenye busara wala hawezi kuhangaika na hili. Dosari ni jambo la kawaida, kikubwa ni kuhakikisha dosari inarekebishwa kwa wakati. Rufaa ni haki ya msingi ya kila mtahiniwa hata vyuo vikuu napo twapewa nafasi ya rufaa. Sasa kukata rufaa au kulalamikia somo la Islamic Knowledge ni sawa na mlalamikiaji wa somo lolote, ambapo NECTA ikichunguza na kujiridhisha, hutoa haki ya mtahiniwa husika!! TUACHE KUPANDIKIZA CHUKI ZA KIDINI KWA KUWA HAZINA MASILAHI KWA TAIFA. Walichokifanya NECTA kusghulikia malamiko fast ni Jambo la KUPONGEZWA-maana tumeshuhudia katika sekta zingine mwananchi analalamikia jambo muda mrefu hata miaka bila kutatuliwa. Let us be sincere katika hili!
 
Back
Top Bottom