Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 603
- 340
Mkuu mbona nasikia wanachukua point kumi?Mkuu kombi ilio balance ni lazima isiwe na zaidi ya point 9 yaani CCC ukiweka point 10 hiyo kombi haijabalance yaani CCD ingawa kigezo hicho hutegemea sana mwaka husika kuna mwaka ukiwa na ccd shule za serikali hauwezi kupata ingawa private utaenda vile vile miaka mingine performance ikiwa poor hata ccd anachaguliwa kwenda form five ilimradi tu awe na div 3