Jamani zanzibar ina watu mil 1.xx inakuwaje baraza la mawaziri linakuwa kubw sana.
Kweli tunataka maendeleo au kupeana ajira tu?? CUF kwa nini msingekataa, Elimu na afya zanzibar bado sana. JAMANI TUNAELEKEA KUPEANA KAZI TU??
Je, baraza la wawakilishi linaundwa na wajumbe wangapi?Kama kuna majimbo hamsini huko Zenji na kuna mawaziri 25, si baraza zima linakuwa la mawaziri? Naomba kukosolewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.