Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Jaman kutoka na uzalilishaji wa Boss wao anapowatembelea maeneo ya kazi inatia huruma. Magufuli na wengine walio tolewa kafala sijui wataanzia wapi? Jk uliwachagua ili uwazalilishe? Hakuna ki2 kinauma kama hiki. Ombi langu.! NAOMBA MAWAZIRI WOTE MTANGAZE KUACHIA NGAZI ili ateuwe wengine 'wachapakazi kama yeye'. Jaman nimejiunga Tanu toka 1966 sawa na FTS