Katibu Tarafa
JF-Expert Member
- Feb 16, 2007
- 989
- 51
Lakini historia inatuambia kipindi cha pili na cha mwisho huwa ni cha kuvuna kama maraisi waliotangulia walivyofanya. Kila la heri wadanganyika
soma Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwanza, vinginevyo unajaza wingu tu kwenye jukwaa la siasa, ambako kunahitaji uje na knowledge fulani si kama majukwaa yale ya kujadili "usipofyeka kichaka hutaambukizwa ukimwi."Nisaidieni hivi manaibu waziri ni wajumbe wa baraza la mawaziri?
Shida sio kumuamini JK. Ipeni muda serikali mpya tuone itafanya nini. Tatizo watu mnataka matokeo wakati ndio kwanza dakika 47 second half.lol.. Tusiiumbue serikali changa kama hii. Tuipe 100 days kwanza alafu tuone upepo unaelekea wapi...
Nasita kuwalaumu WATANZANIA, walipiga kura kuchagua mbadala wa kikwete lakini NEC walitumia ubabe kumtangaza jamaa mshindi kwa kuchakachua matokeo.Mkuu, wadanganyika walimkubali kikwete bila kulazimishwa na mtu ... na hayo ndio maisha bora kwa kila mdanganyika!! wanalialia nini sasa.