Baraza la mawaziri la kikwete - so far!!!

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,891
11,288
Nasoma gazeti la guardian tarhere 25 November, limeandikwa "Here's teh Cabinet... kuna faces kama akina Goodluck Ole Medeye, Lwenge Gerson, Samia Suluhu, Mwakyembe, Nyalandu, Mulugo, Pereira Silima, Ummy Mwalimu, Kitwanga nk.

Chini unaona maneno "JK hailed for keeping word on who to pick" na mambo kama hayo

Baraza ni kubwa na naomba niseme kwamba so far naona akina Mama Tibaijuka ameenda safi (ingawa amekua kimya sijui ndo kamalizwa au akina tibaigana wamekaba koo)

Mwakyembe naona kama simuelewi, sijui ndio desk limejaa pendings au ameamua kujificha dowans iishe

Mfutakamba: sioni kitu labda ni wale wanaijificha kwenye mafaili'

Samia, Ummy, Vuai, Medeye, G. Teu, Gerson, Silima, Nangolo, Kitwanga, naona hamna kitu

Kumbukeni waziri anapata nafasi kwa kuwa mwanasiasa, hivyo basi pamoja na kazi za mafaili, mnalazimika kutumia utashi wenu wa kisiasa kujisemea mnayofanya na si kumuachia pinda au JK kuwasemea....

Nafurahi kusema kwamba bado we may have only ten ministries and perform better than hili cabinet la watu wanaokaa kwenye magari ya serikali na kuvimba mashavu

Kitwanga swahiba.... umeniangusha tayari
Meddeye.... ziiiiii
Chiza---- hivi we waziri wa wizara gani?
Ngeleja... how do you feel when you wake up, shower say bye to your lovely wife while you know that you are useless and we are heading to the dark era? cant you do your family a favor? practice law badala ya siasa?
Gerson, ulipangiwa wizara gani vile?

JK piga panga mawaziri to 50%
 
JK piga panga mawaziri to 50%

Mkuu mbona itakuwa mapema sana kuhukumu maana maamuzi mengine ya wizara yanahitaji umakini katika kuamua wakikurupuka ndio yakina DOWANS
 
Mfutakamba! Hivi huyu jamaa sio yule anayehusishwa na walemavu wa ngozi?
 
Mkuu mbona itakuwa mapema sana kuhukumu maana maamuzi mengine ya wizara yanahitaji umakini katika kuamua wakikurupuka ndio yakina DOWANS
unahitaji research gani kumjua mtendaji bogus?? huwa haizidi 60 days
 
hv akina Mulugo nao mawazr? me nmebak na majna yao as MPs. they are enjoying their sleep kwenye AC za magari
 
yeah... yako mengi kweli siku hizi ukiomba utendaji unapewa faili la jitihada na ahadi
 
Nasoma gazeti la guardian tarhere 25 November, limeandikwa "Here's teh Cabinet... kuna faces kama akina Goodluck Ole Medeye, Lwenge Gerson, Samia Suluhu, Mwakyembe, Nyalandu, Mulugo, Pereira Silima, Ummy Mwalimu, Kitwanga nk.

Chini unaona maneno "JK hailed for keeping word on who to pick" na mambo kama hayo

Baraza ni kubwa na naomba niseme kwamba so far naona akina Mama Tibaijuka ameenda safi (ingawa amekua kimya sijui ndo kamalizwa au akina tibaigana wamekaba koo)

Mwakyembe naona kama simuelewi, sijui ndio desk limejaa pendings au ameamua kujificha dowans iishe

Mfutakamba: sioni kitu labda ni wale wanaijificha kwenye mafaili'

Samia, Ummy, Vuai, Medeye, G. Teu, Gerson, Silima, Nangolo, Kitwanga, naona hamna kitu

Kumbukeni waziri anapata nafasi kwa kuwa mwanasiasa, hivyo basi pamoja na kazi za mafaili, mnalazimika kutumia utashi wenu wa kisiasa kujisemea mnayofanya na si kumuachia pinda au JK kuwasemea....

Nafurahi kusema kwamba bado we may have only ten ministries and perform better than hili cabinet la watu wanaokaa kwenye magari ya serikali na kuvimba mashavu

Kitwanga swahiba.... umeniangusha tayari
Meddeye.... ziiiiii
Chiza---- hivi we waziri wa wizara gani?
Ngeleja... how do you feel when you wake up, shower say bye to your lovely wife while you know that you are useless and we are heading to the dark era? cant you do your family a favor? practice law badala ya siasa?
Gerson, ulipangiwa wizara gani vile?

JK piga panga mawaziri to 50%

mh mwanangu hivi hao kwenye red ni mawaziri , mbona hata mm siwajui?
 
nadhani kikwete ndio hafai na ni wa kwanza kuondoka km angekuwa na heki,a kwani amekosa sifa ya kuwa rais toka awamu ya pili................kafoji urais ndiyo maana dhambi inamtafuna
 
Back
Top Bottom