Baraza la Mawaziri CDM

mpepalilambo

Senior Member
Jun 27, 2012
194
39
Nilikuwa nafikiri baraza la Mawaziri la CDM iwapo watapewa ridhaa ya Wananchi. Haya ndo mawazo yangu.

FREEMAN MBOWE - RAIS
DR. WILBROD SLAA - WAZIRI MKUU
ZITTO KABWE- WAZIRI WA FEDHA
TUNDU LISSU- WAZIRI WA SHERIA
GODBLESS LEMA - WAZIRI WA MAMBO YA NDANI
WENJE-WAZIRI WA MAMBO YA NJE
LWAKATARE- WAZIRI WA ULINZI
HALIMA MDEE- WAZIRI WA AFYA
NDESAPESA- WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA
MCHUNGAJI MSIGWA- WAZIRI WA UJENZI
JOHN MNYIKA - WAZIRI WA ARDHI
NASARI- WAZIRI WA MICHEZO

Bila shaka kasi ya maendeleo itakuwa kama ya treni la umeme.
 
Nilikuwa nafikiri baraza la Mawaziri la CDM iwapo watapewa ridhaa ya Wananchi. Haya ndo mawazo yangu.

FREEMAN MBOWE - RAIS
DR. WILBROD SLAA - WAZIRI MKUU
ZITTO KABWE- WAZIRI WA FEDHA
TUNDU LISSU- WAZIRI WA SHERIA
GODBLESS LEMA - WAZIRI WA MAMBO YA NDANI
WENJE-WAZIRI WA MAMBO YA NJE
LWAKATARE- WAZIRI WA ULINZI
HALIMA MDEE- WAZIRI WA AFYA
NDESAPESA- WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA
MCHUNGAJI MSIGWA- WAZIRI WA UJENZI
JOHN MNYIKA - WAZIRI WA ARDHI
NASARI- WAZIRI WA MICHEZO

Bila shaka kasi ya maendeleo itakuwa kama ya treni la umeme.



waziri wa kilimo chakula ushirika?
waziri wa nishati madini?
waziri wa maji?
 
Sana mkuu. Kama siyo uzembe wa TCU, msingekuwa huku. Sasa hivi mngekuwa mnahangaika ma- home work na Ma-seminar tu.

Sasa wewe full time umo jamvini kazi zako unafanya saa ngapi kama siyo dent au ndo kazi yako? usijali dents wakipata mikopo tutaendeleaa kuwapa elimu mi teacher wao.
 
Hivi baraza hilo ndo think tank ya CDM? ohhhhhhhhhhhhh kazi kweli kweli. Tz safari ndefu saaaaaaaaaaaaaaana kufika nchi ya maziwa na asali.
 
Hakuna jipya
Nilikuwa nafikiri baraza la Mawaziri la CDM iwapo watapewa ridhaa ya Wananchi. Haya ndo mawazo yangu.

FREEMAN MBOWE - RAIS
DR. WILBROD SLAA - WAZIRI MKUU
ZITTO KABWE- WAZIRI WA FEDHA
TUNDU LISSU- WAZIRI WA SHERIA
GODBLESS LEMA - WAZIRI WA MAMBO YA NDANI
WENJE-WAZIRI WA MAMBO YA NJE
LWAKATARE- WAZIRI WA ULINZI
HALIMA MDEE- WAZIRI WA AFYA
NDESAPESA- WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA
MCHUNGAJI MSIGWA- WAZIRI WA UJENZI
JOHN MNYIKA - WAZIRI WA ARDHI
NASARI- WAZIRI WA MICHEZO

Bila shaka kasi ya maendeleo itakuwa kama ya treni la umeme.
 
Jamani wadau jimbo la ukonga ni langu nitagombea kupitia CHADEMA nipeni sapoti wadau [QUO637]Unasubiri mpaka mkeo ajifungue ndo ununue nepi? acha mila za kizamani na toa hoja kama unazo[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom