Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Sengerema katika kikao chake cha katikati ya wiki hii limeazimia wakuu wa idara na vitengo tisa kufukuzwa kazi.Hii ni baada ya bodi ya zabuni kuhusishwa na matumizi mabaya ya fedha.Wakuu hao wa idara na vitengo walikua wamesimamishwa kazi kwa muda kama wa miezi miwili iliyopita.Baadhi yao ni Mwanasheria wa halashauri,Afisa mipango wa halmashauri,Afisa maendeleo ya jamii wa halmashauri hiyo na wengine.Hawa wote wamo katika bodi ya zabuni ya whalmashauri.SOURCE MIMI MWENYEWE TOKA SENGEREMA