Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
This is very interesting.What a contradiction!! You can fool some people for some time but you cant fool all the people all the time...
Rrrrrrrahaaaaa,hahaha kazi kweli kweli!
Giza na mwanga havipatani,kama jinsi ukweli na uongo vinavyo tengana!
Its just a matter of time!
pinda alisema uchaguzi wa meya ulikua ni halali kwa sababu idadi ya madiwani ilitimia,...
alipoitwa muongo bungeni spika alimtetea na wakaficha ushahidi....
Mnakumbuka Dr.Slaa aliposema usalama wa taifa una chakachua kura?
usalama wa taifa walisemaje?
mnakumbuka sumaye (waziri mkuu kwa miaka10) alisema kina nani wanaamua nani awe raisi?
wananchi,dola,na.....
Nani muongo leo?
Je,Pinda bado alisema ukweli?
Au uongo wa mzee ni ukweli,kwa kuwa wazee hawadanganyi?...Tena anapokuwa waziri mkuu
hahahaha,i love this game