Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa ujumbe mzito wa kwaresima kwa mwaka 2015 na kueleza kwamba kanisa hilo halina chama licha ya kwamba waamini wake wana vyama vya siasa.
Katika ujumbe huo unaongozwa na kauli mbiu ya zingatieni haki na kutenda mema unaotoka kitabu cha Isaya sura ya 56 aya ya kwanza(isaya 56:1),baraza hilo limesema kanisa katoliki halina chama wala halifungamani na chama chochote cha siasa nchini.
Tunashauri zoezi hili liendeshwe kwa uadilifu na lisifanywe kuwa tendo la ulanguzi wa kura.Huku ni kudhalilisha utu wa watu na kuvuna madaraka kupitia umasikini wa watu.
Tunapenda wale wanaomba dhamana ya uongozi wa taifa hili katika Nyanja zote na sisi sote tunaotumia haki ya kura zetu tuitumie fursa hii kama dhamana na tendo la heshima ya utu wetuilieleza ssehemu ya ujumbe huo wa TEC.
Kejeli,vitisho,migomo,vijembe na kukosa ustamilivu katika mijadala yenye lengo la kuunda misingi ya mustabari mwema wa taifa letu vinaonesha kukosekana kwa uzalendo na ukomavu wa kisiasa.Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa ujumbe mzito wa kwaresima kwa mwaka 2015 na kueleza kwamba kanisa hilo halina chama licha ya kwamba waamini wake wana vyama vya siasa.
Katika ujumbe huo unaongozwa na kauli mbiu ya zingatieni haki na kutenda mema unaotoka kitabu cha Isaya sura ya 56 aya ya kwanza(isaya 56:1),baraza hilo limesema kanisa katoliki halina chama wala halifungamani na chama chochote cha siasa nchini.
Katika ujumbe huo unaongozwa na kauli mbiu ya zingatieni haki na kutenda mema unaotoka kitabu cha Isaya sura ya 56 aya ya kwanza(isaya 56:1),baraza hilo limesema kanisa katoliki halina chama wala halifungamani na chama chochote cha siasa nchini.
UCHAGUZI MKUU MWAKA 2015
Maaskofu hao walisema Tutakuwa tunakabiliwa na uamuzi wa kisiasa kwa kuchagua viongozi watakaotumia rasilimali za taifa letu kwa ama ustawi na maendeleo ya wengi walio katika lindi la umasikini au kwa matumizi ya fahari zao binafsi na wabia wao katika kujitajirisha walisema na kuongeza kuwaTunashauri zoezi hili liendeshwe kwa uadilifu na lisifanywe kuwa tendo la ulanguzi wa kura.Huku ni kudhalilisha utu wa watu na kuvuna madaraka kupitia umasikini wa watu.
Tunapenda wale wanaomba dhamana ya uongozi wa taifa hili katika Nyanja zote na sisi sote tunaotumia haki ya kura zetu tuitumie fursa hii kama dhamana na tendo la heshima ya utu wetuilieleza ssehemu ya ujumbe huo wa TEC.
MCHAKATO WA KATIBA MPYA
Maaskofu hao walisema kuwa Tunarudia kusistiza kuwa hiki ni kipindi adhimu kwa taifa letu.Tunapenda kulikumbusha taifa letu kwamba hili ni zoezi linalodai uadilifu mkubwa na utashi wa kisiasa wenye lengo la kujenga Taifa kwa muda mrefu.Kejeli,vitisho,migomo,vijembe na kukosa ustamilivu katika mijadala yenye lengo la kuunda misingi ya mustabari mwema wa taifa letu vinaonesha kukosekana kwa uzalendo na ukomavu wa kisiasa.Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa ujumbe mzito wa kwaresima kwa mwaka 2015 na kueleza kwamba kanisa hilo halina chama licha ya kwamba waamini wake wana vyama vya siasa.
Katika ujumbe huo unaongozwa na kauli mbiu ya zingatieni haki na kutenda mema unaotoka kitabu cha Isaya sura ya 56 aya ya kwanza(isaya 56:1),baraza hilo limesema kanisa katoliki halina chama wala halifungamani na chama chochote cha siasa nchini.