sinforosa
Member
- Jul 28, 2011
- 32
- 19
Viongozi wahusika mpooooooooo ? Ikiwezekana libatilishwe na kuundwa baraza Lingine litakalokuwa kwa ajili ya wananchi wa kata ya Mzimuni na si kwa ajili ya maslahi ya watu fulani na hasa wa wachama tawala na kuwanyima haki wananchi wengine kwa kuangalia itikadi na vyama na uwezo wao.