mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Mmh naona wanachonga dili,ngoja tumuulize the Don Rost tamu maake yeye ndie Don Creole hasa,ukigombana na mkeo unaenda kwake kupata ushauri,ukitaka ubunge unaenda kwake na ukitaka ku EPA unaenda kwake ,ukitaka uwaziri ,ukiranja wa mkoa pia unaenda kwake yeye ndio Alfa na Omega TZ wengine photocopy bana