Baraza la Idd Msikiti wa Gaddafi Dodoma

Mwita25

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
3,831
1,164
Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye baraza la Idd litakalofanyika kesho kwenye msikiti wa Gaddafi Dodoma. Sherehe zinafanyika wakati kiongozi huyo wa Libya anaendelea kusakwa na waasi.
 
Waislamu wa msikiti huo walishawahi kupanga maandamano ya kumuunga mkono Gadafi. Sijui kama mpango wa kuadhimishia Baraza la Idd hapo ni coincidence tu, au mpango makhsusi wa kuonyesha kumuunga mkono japo yuko katika twaabu!
 
Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye baraza la Idd litakalofanyika kesho kwenye msikiti wa Gaddafi Dodoma. Sherehe zinafanyika wakati kiongozi huyo wa Libya anaendelea kusakwa na waasi.
Hivi Gadhafi alifunga kula?
 
Back
Top Bottom