Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
kuna tetesi juu ya taarifa kuwa mashehe na baraza kuu la waisilamu. la bakwata ...watatoa tamko juu ya hali ya inayoendelea kuhusu hali ya nchi inavyoendelea..juu ya dini inayoendelea nchini
kuna tetesi juu ya taarifa kuwa mashehe na baraza kuu la waisilamu. la bakwata ...watatoa tamko juu ya hali ya inayoendelea kuhusu hali ya nchi inavyoendelea..juu ya dini inayoendelea nchini
Unakusudia kina nani? Kwanini usiseme waislamu tu!Bakwata watatoa sawa...Lakini ishu ni hawa watu wa Sheikh Ponda kukubaliana na taarifa watakayotoa Bakwata!
Una uhakika?Upuuzi Huu waislam wanahamasisha wizi na uchomwaji wa makanisa
We kumbe Mropokaji, huwajui hao bakwata.Hilo tamko litasaidia nini ilhali haohao masheikh ndo wahubiri wa chuki kwenye mimbari zao na vijiredio vyao?na wanasikilizwa na nani?kina ponda ni wengi sana.
Unakusudia kina nani? Kwanini usiseme waislamu tu!
Unakusudia kina nani? Kwanini usiseme waislamu tu!
Exactly Nicas...si waislamu. Ni wafuasi wa Ponda.
Exactly Nicas...
Si Waislamu wote wenye ubaya wa aina hiyo...Hawa wafuasi wa Ponda ni wa hatari sana!