Baraza jipya: VIJANA Wasichaguliwe Uwaziri

do you mean wazee ndiyo wanafaa?kwenye hili baraza la mawaziri la JK tumeshuhudia wazee kwa vijana wote wakivurunda simultaneously,so neither kijana nor mzee is better out of uadilifu.Mimi ninaamini ktk kiongozi muadilifu ambaye huenda akawa mzee au kijana.
Labda tujiulize,mfumo wa serikali ya ccm wanayoifanyia kazi ni mzuri kuwafanya wasile rushwa?Kwangu mimi,pamoja na tatizo la uadilifu wa viongozi lakini nadhani tatizo kubwa liko kwenye mfumo mbaya wa serikali ya chama tawala ndio unaomfanya kila kiongozi anayeteuliwa kuwa mlarushwa.mind you nobody is clean ktk huu mfumo wa ccm.
Hivyo hata aletwe nani ktk mfumo huu huu wa ccm hakuna kitu..............am sorry to say that.
 
Kusema za kweli vijana wa Tanzania kuna tatizo kubwa sana!
Katika mazingira ya kila kitu kutaka usasa na uzungu, taifa halina mfumo wa kimaadili na uzalendo!
Matokeo yake ni kila kijana anafikiria kupiga tu.
Taifa legelege limezaa vijana wenye ndoto na matarajio makubwa sana wakizungukwa na umasikini na majukumu mazito, hapo lazima mtu apige tu.
Sijui JK ageukie wapi, ndio maana haya mambo sio ya kuongea mara moja tu, kwakweli tunahitaji kuanza upya tufume upya taifa letu kwa matakwa na namna yetu sisi kama Tanzania.
Katika mfumo wa sasa hata hao wazee ndio wapuuzi nambari moja.
Hatuna pakugeukia kwa kweli.
Hatua za haraka turekebishe sheria zetu katika kuwajibisha maofisa wa serikali na masuala ya rushwa kwa ujumla sheria iongezewe makali kwa kufumua upya pccb na idara ya dpp.


Hiki ni Kipindi cha watoto wanaoitwa babby boon ni tatizo all over the world, ila kwa Ulaya wamekuwa smart kwa sababu wako bright na wanatunza uzalendo katika nchi zao, kwa Tanzania maadili ni tatizo (youth are deviants) kuvunjika kwa utarajibu wa JKT umesababisha vijana wengi wasitulie (no control) JKT ilisaidia vijana kuwa pamoja na kuona jinsi ya kuanza maisha katika hali ile ambayo tuliishi JKT, kujenga uvulivu na subira ni jambo muhimu why? Vijana at the age of 20 - 30yrs hakuna wanachopoteza ni umri wao wa kuthubutu (risk age); 30 - 40 yrs ni umri wa kutulia na kupata mwelekeo (focus and sustainability); 40-50yrs ni productive age, managers, leaders na hata katika position serikalini wanahitaji kuwa na Cheo stahiki ni kipindi hawahitaji movement za mara kwa mara ni umri wa kujijenga kwa ajili ya retirement zaidi; 50+ hiki ni kipindi endelevu, consultants, watu wengi wanapenda watambulike na kuheshimiwa na kupatiwa nafasi.

 

Hiki ni Kipindi cha watoto wanaoitwa babby boon ni tatizo all over the world, ila kwa Ulaya wamekuwa smart kwa sababu wako bright na wanatunza uzalendo katika nchi zao, kwa Tanzania maadili ni tatizo (youth are deviants) kuvunjika kwa utarajibu wa JKT umesababisha vijana wengi wasitulie (no control) JKT ilisaidia vijana kuwa pamoja na kuona jinsi ya kuanza maisha katika hali ile ambayo tuliishi JKT, kujenga uvulivu na subira ni jambo muhimu why? Vijana at the age of 20 - 30yrs hakuna wanachopoteza ni umri wao wa kuthubutu (risk age); 30 - 40 yrs ni umri wa kutulia na kupata mwelekeo (focus and sustainability); 40-50yrs ni productive age, managers, leaders na hata katika position serikalini wanahitaji kuwa na Cheo stahiki ni kipindi hawahitaji movement za mara kwa mara ni umri wa kujijenga kwa ajili ya retirement zaidi; 50+ hiki ni kipindi endelevu, consultants, watu wengi wanapenda watambulike na kuheshimiwa na kupatiwa nafasi.

Brilliant, natamani JK angekuwa anasoma hizi. Hawa jamaa wa usalama wa taifa ndio wakati wao huu kufanya screening ili wamshauri mkuu asikurupukie vijana kwa vile wanajipendekeza sana kumbe wana ajenda moja tu ya wizi
 

Hiki ni Kipindi cha watoto wanaoitwa babby boon ni tatizo all over the world, ila kwa Ulaya wamekuwa smart kwa sababu wako bright na wanatunza uzalendo katika nchi zao, kwa Tanzania maadili ni tatizo (youth are deviants) kuvunjika kwa utarajibu wa JKT umesababisha vijana wengi wasitulie (no control) JKT ilisaidia vijana kuwa pamoja na kuona jinsi ya kuanza maisha katika hali ile ambayo tuliishi JKT, kujenga uvulivu na subira ni jambo muhimu why? Vijana at the age of 20 - 30yrs hakuna wanachopoteza ni umri wao wa kuthubutu (risk age); 30 - 40 yrs ni umri wa kutulia na kupata mwelekeo (focus and sustainability); 40-50yrs ni productive age, managers, leaders na hata katika position serikalini wanahitaji kuwa na Cheo stahiki ni kipindi hawahitaji movement za mara kwa mara ni umri wa kujijenga kwa ajili ya retirement zaidi; 50+ hiki ni kipindi endelevu, consultants, watu wengi wanapenda watambulike na kuheshimiwa na kupatiwa nafasi.


It is ok mkuu lakini unaamini JKT ndo suluhu ya kila kitu katika challenge hii tuliyomo????? Mbona wengi wa mawaziri waandamizi wamepitia humo na ni aghalabu kuwa mifano ya kuigwa????

Mimi naona tatizo ni kubwa zaidi ya hilo.......hivi kuna utaratibu wowote wa kuwaandaa vijana kuwa viongozi wa kesho????? Kinachotuponza ni kuamini kila kijana mwanasiasa anaweza kuwa kiongozi wa taifa hili, na hili limepelekea walafi wengi wa madaraka kufikia ndoto zao kwa mlango huu yaaani ukiwa mbunge tu lolote laweza kuwa huu ndio mwanzo wa mauti haya yanayotukabili

Mimi si mwanachama wa chama yoyote ila ni mpenda nchi yangu PERIOD.....

Angalia CDM kwa mfano sijui criteria gani wanatumia ila tunaona umakini wa kujenga hoja kwa vijna wa hii kambi...nadhani Mwalimu J.K Nyerere aliweza kuweka umoja wa vijana ili kupata catchment and a sieving mechanism na ndio maana aliweza kupata wengi waliokuwa makini na walioiva.....CDM nadhani wamekopi mtindo huu na wao wanautumia kwa fashen tofauti na enziza mwalimu na dio maana leo wanakuwa na watu wa aina ile ya kina Lissu, Mnyika, Zitto, Mdee, Nassari na wengineo

Upande wa CCM chama tawala uwezo huu ulipotelea wapi wa kuweza kuandaa vijana makini........ni baada ya chama kuwa na makudi na vijana kuacha kujiandaa na kujikita kwenye makundi na kuendeleza uhasama......hapa ndipo mtaji ulikufa na kuanza kuyumba na malalamiko haya ya leo kupata nafasi .........mfano; ni viongozi wangapi vijana leo hii wanaweza kuja hapa mbele ya watanzania na kusema walianza hii kazi wakiwa tayari wameiva kiuzalendo???? historia zao zinaweza ku support??? Nini tunatumia kuwachuja vijana hawa tunaowatarajia?????

Kwa mtazamo wangu hata tukivunja baraza tena na tena tatizo linaweza kujirudia kwa sababu watu wa kufanya yale tunayoyatarajia hawajaandaliwa kwa kiasi kile tunachohitaji kwa manufaa yetu. Naona kama tunatarajia zaidi ya uwezo wetu halisi

Hivi bado kuna umuhimu wa kuwa na mawaziri wanaotokana na ubunge???? Hili sio kwamba linatufanya tuwe na uwanja mdogo sana wa kupata watendaji???? Hivi hatuwezi kupata watu wasio na utashi wa kisiasa wakaweza kushughulika na mambo ya serikali bila uoga wa chama????? Hatuwezi hili?????

Tumenasa kwa kina kirefu na hatutoki hapa mpaka tutapoamua kwa dhati.......suluhisho si kuja na mbadala ila kupata mfumo mbadala utakaoleta mbadala endelevu
 
Mkuu kweli wewe si muumini wa vijana lakini ukumbuke Nyerere aliukwaa Urais akiwa kijana wa miaka 37 hivi. Na wengi tunakiri kwamba alijitahidi katika uongozi wake na hakuwa mwizi. Wizi na ufisadi ni ni mmomonyoko wa maadili kwenye jamii yetu. Hivi Mkulo ni kijana yule? Mfutakamba je? Nundu? Mponda?

Tanzania bado tuna vijana wazuri tu na waadilifu watafutwe wawe vetted wapewe nafasi. Tatizo hapa katikati ilikuwa ni ukosefu wa vetting na kujua historia na uadilifu wa watu. Wengi walikuwa wakichukuliwa kwa kuwa kuna kauhusiano fulani ka mtaani ama mtandaoni. Nadhani sasa tutarudi kule kwa zamani ambapo wateule walikuwa hawapewi bali wanastahili kuteuliwa.

Issue hapa ni uwezo wa kuongoza na sio age. Wapo vijana waliofanya vizuri katika uongozi mfano mmoja wapo ni Mwalimu, Ameongoza vizuri akiwa kijana na uwezo wake haukuyumba hata alipostaafu. Unaweza kukumbuka alivyokemea chochote kibaya alichoona na kutoa direction akiwa sio rais i.e akiwa mzee tena mstaafu. Lakini pia wapo vijana ambao ni hovyo tu. Wamekuwa wasaliti na machampion wa kulinda na kukumbatia uozo eg Nnape. Wengine hawana uwezo kabisa. Ujana wa akina Vicky Kamata unasaidia nini taifa hili??
 
Sasa hivi hakuna pa kukimbilia.Vijana na wazee wote mwendo mdundo.Tusubiri tu kaburi letu.Jamaa wamemaliza kazi.

Hiki ni Kipindi cha watoto wanaoitwa babby boon ni tatizo all over the world, ila kwa Ulaya wamekuwa smart kwa sababu wako bright na wanatunza uzalendo katika nchi zao, kwa Tanzania maadili ni tatizo (youth are deviants) kuvunjika kwa utarajibu wa JKT umesababisha vijana wengi wasitulie (no control) JKT ilisaidia vijana kuwa pamoja na kuona jinsi ya kuanza maisha katika hali ile ambayo tuliishi JKT, kujenga uvulivu na subira ni jambo muhimu why? Vijana at the age of 20 - 30yrs hakuna wanachopoteza ni umri wao wa kuthubutu (risk age); 30 - 40 yrs ni umri wa kutulia na kupata mwelekeo (focus and sustainability); 40-50yrs ni productive age, managers, leaders na hata katika position serikalini wanahitaji kuwa na Cheo stahiki ni kipindi hawahitaji movement za mara kwa mara ni umri wa kujijenga kwa ajili ya retirement zaidi; 50+ hiki ni kipindi endelevu, consultants, watu wengi wanapenda watambulike na kuheshimiwa na kupatiwa nafasi.

 
kimsingi chama chetu kuna tatizo la generation gap kulikosababishwa na wazee kugoma kuachia madaraka mfano tunao akina msekwa, mukama na wengine wengi tu kupata vijana wenye mvuto kama filikunjombe imekuwa ni tatizo kubwa sana.Vijana walioko Uvccm wamaeonyesha uzaifu mkubwa , huwezi kulinganisha Uvccm ya akina nchimbi na ya sasa tofauti ni kubwa mno
 
Ila tuache kudanyangya badala ya kulibebesha zigo taifa kwa kuchagua waziri Mku mwingine ninamshauri amurudishe Lowassa bila kujali kelele za wapinzani wengineo na familia yake eti Lowassa anataka kumngóa akimurisha hakika Lowassa atachapa kazi na aipaisha CCM, kwa vile Bunge sehemu kubwa ni la CCM Nina imani watamkubali Lowassa na EL hatafanya kosa atalekebisha mengi including shule za kata kero za maji umeme nk!

HUO NDIO UKWELI KWA SASA JK TUMIA RUNGU LAKO LA KATIBA TEUA TENA LOWASSA UTAFURAHI! NI KATIKA IMANI KUWA HATARUDIA MAKOSA NA WIZI WAKE TENA!!! ILA SIFA YA USIMAMIZI UTARUDISHA UHAI WA CCM , NI MAONI YANGU TU!
 
Mkuu kweli wewe si muumini wa vijana lakini ukumbuke Nyerere aliukwaa Urais akiwa kijana wa miaka 37 hivi. Na wengi tunakiri kwamba alijitahidi katika uongozi wake na hakuwa mwizi. Wizi na ufisadi ni ni mmomonyoko wa maadili kwenye jamii yetu. Hivi Mkulo ni kijana yule? Mfutakamba je? Nundu? Mponda?

Tanzania bado tuna vijana wazuri tu na waadilifu watafutwe wawe vetted wapewe nafasi. Tatizo hapa katikati ilikuwa ni ukosefu wa vetting na kujua historia na uadilifu wa watu. Wengi walikuwa wakichukuliwa kwa kuwa kuna kauhusiano fulani ka mtaani ama mtandaoni. Nadhani sasa tutarudi kule kwa zamani ambapo wateule walikuwa hawapewi bali wanastahili kuteuliwa.


kimbunga umeweka neno zuri sana vetted, sasa hapa tukiwa na katiba inayolipa bunge nguvu ya kuwavet hawa watu ikiwemo na kuchunguza rekodi yao ya zamani, maisha yao binafsi (uzinzi huu na ulevi, au kupenda makuu na starehe) basi tutapata vijana na wazee wenye kupenda nchi.

Enzi za nyerere kulikua na maadili ya uongozi kutokana na itikadi iliyokuepo, huu mfumo wetu wa kiliberali na itikadi za sasa haziwezi kulea vijana makini. tunahitaji taasisi kuwabana hawa watawala maana yake sheria nyingi nzuri zipo za kuwabana ila zinzdharaulika.. Strong institutions (kama office ya CAG ambaye office yake ni huru akiwa analindwa kazi yake na majaji wa jumuia ya commonwealth) ni muhimu sana. Hawa PCRB,office ya DP, Bunge, Mahakama zikiwa na nguvu hatupati tena hawa akina Masha, Mkulo, Ngeleja hatai na Jk mwenyewe asingekua na dharau hivi na mustakabali wa nchi.. hawa wazungu (IMF, WB) siwaamini kabisa, lakini kwa hili la kumimprove institutional capacity to achieve good governance wako very right.
 
Mbona Pinda mzee lakini anachemka,kuna wizara zina changamoto sana hata kama ukiwa mzee utachemsha
 
Mkuu mharakati umenena vyema. Kitu hiki kinachoitwa security of tenure kinatuharibia nchi. Ukipewa madaraka makubwa hasa ya kitaasisi ya kusimamia serikali na kuendelea kuwepo pale kukategemea tamko la mtu mmoja tu basi unakosa hata maamuzi na ni rahisi kuingiliwa. Mkurugenzi wa PCCB hana security of tenure uwepo wake unategemea tamko la mkuu wa nchi. CAG yeye ana kauhakika kidogo kwani mkuu wa nchi hawezi kuamka na kumfuta kazi hadi mchakato fulani wa kikatiba ufuatwe. Hivyo CAG ameweza kutoa taarifa ile kwa kuwa ana kauhakika ka ajira yake. Pia anaacha legacy ya kiti hicho. Baada ya watu kumshutumu kwa ile ukaguzi wa Jairo ameamua kujitakasa. Lakini pia nadhani kwa hilo la CAG kuna political will from the top we call it tone at the top.
 
Last edited by a moderator:
kimbunga umeweka neno zuri sana vetted, sasa hapa tukiwa na katiba inayolipa bunge nguvu ya kuwavet hawa watu ikiwemo na kuchunguza rekodi yao ya zamani, maisha yao binafsi (uzinzi huu na ulevi, au kupenda makuu na starehe) basi tutapata vijana na wazee wenye kupenda nchi.

Enzi za nyerere kulikua na maadili ya uongozi kutokana na itikadi iliyokuepo, huu mfumo wetu wa kiliberali na itikadi za sasa haziwezi kulea vijana makini. tunahitaji taasisi kuwabana hawa watawala maana yake sheria nyingi nzuri zipo za kuwabana ila zinzdharaulika.. Strong institutions (kama office ya CAG ambaye office yake ni huru akiwa analindwa kazi yake na majaji wa jumuia ya commonwealth) ni muhimu sana. Hawa PCRB,office ya DP, Bunge, Mahakama zikiwa na nguvu hatupati tena hawa akina Masha, Mkulo, Ngeleja hatai na Jk mwenyewe asingekua na dharau hivi na mustakabali wa nchi.. hawa wazungu (IMF, WB) siwaamini kabisa, lakini kwa hili la kumimprove institutional capacity to achieve good governance wako very right.
Mkuu pia siku hizi watu wanapewa vyeo bila kupekuliwa ama hata wakipekuliwa upekuzi huo haizingatiwi matokeo yake ndio tunapata vijana na wazee walevi wa kupindukia, waporaji wa mali za umma na kila aina ya ufisadi tena bila aibu. Kuna mtu amelia hapo juu kwamba anawachukia mawaziri vijana kwa kuwa walimpora kimada wake!
 
kimbunga umeweka neno zuri sana vetted, sasa hapa tukiwa na katiba inayolipa bunge nguvu ya kuwavet hawa watu ikiwemo na kuchunguza rekodi yao ya zamani, maisha yao binafsi (uzinzi huu na ulevi, au kupenda makuu na starehe) basi tutapata vijana na wazee wenye kupenda nchi.

Enzi za nyerere kulikua na maadili ya uongozi kutokana na itikadi iliyokuepo, huu mfumo wetu wa kiliberali na itikadi za sasa haziwezi kulea vijana makini. tunahitaji taasisi kuwabana hawa watawala maana yake sheria nyingi nzuri zipo za kuwabana ila zinzdharaulika.. Strong institutions (kama office ya CAG ambaye office yake ni huru akiwa analindwa kazi yake na majaji wa jumuia ya commonwealth) ni muhimu sana. Hawa PCRB,office ya DP, Bunge, Mahakama zikiwa na nguvu hatupati tena hawa akina Masha, Mkulo, Ngeleja hatai na Jk mwenyewe asingekua na dharau hivi na mustakabali wa nchi.. hawa wazungu (IMF, WB) siwaamini kabisa, lakini kwa hili la kumimprove institutional capacity to achieve good governance wako very right.
Mkuu pia siku hizi watu wanapewa vyeo bila kupekuliwa ama hata wakipekuliwa upekuzi huo haizingatiwi matokeo yake ndio tunapata vijana na wazee walevi wa kupindukia, waporaji wa mali za umma na kila aina ya ufisadi tena bila aibu. Kuna mtu amelia hapo juu kwamba anawachukia mawaziri vijana kwa kuwa walimpora kimada wake!
 
Kanuni hizo unazoziongelea zimebakwa kwa miaka 17 sasa na wabakaji wakubwa ni vijana. Hivi hujiulizi kwa nini akina Mzee Ntagazwa hawakuwahi kutapeli enzi za ujana wanakuja kupata kesi uzeeni? Enzi za ujana wao kulikuwa na malezi ya kiuongozi. Wasira alikuwa waziri wakati kijana akafanya vizuri sana lakini uwaziri wake wa sasa kukiwa na OMBWE umekuwa wa hovyohovyo tu

asante kwa kuonyesha uongozi si umri bali ni kufuata kanuni.ni obvious kwamba rika linalotakiwa kushika uongozi,kupiga kura na kufanya kazi ni la vijana.hatuna budi kukubaliana na ukweli huu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
tatizo si vijana, waziri mwinyi si kijana na walau kiasi fulani anajaribu kutimiza wajibu wake. shida magamba hawana watu waadilifu wataoteuliwa nin walewale
 
kwa hiyo mustafa mkulo, karamagi, chenge, lowasa hao wote ni vijana? Ateuliwe mzee au kijana haijalishi mwisho wa siku ccm ni majizi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom