dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,384
Tafadhali usiseme VIJANA sema VIJANA WA CCM. Kama huko CCM hamna maadili hiyo ni juu yao lakini maeneo mengine kuna maelfu ya vijana wazalendo, waadilifu, na wenye uchungu na nchi yao tofauti na hao mapakashume wa magamba. Nimezingatia kwamba Rais akitaka aweza kumteua mbunge wa chama chochote kushika nafasi ya uwaziri.