MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Waziri Mkuu mteule wa Ufaransa, Jean-Marc Ayrault, ametangaza baraza la mawaziri 34 (wakiwa ni pamoja na manaibu mawaziri).
Baadhi ya sifa za baraza hili:
- Idadi sawa ya wanawake na wanaume (17 wanawake na 17 wanaume).
- Mawaziri 7 kati yao wana umri chini ya miaka 40
- Mawaziri 7 wana asili ya kigeni, wakiwemo wenye asili ya Afrika ya Kaskazini, Carrebian na Korea.
- Mishahara yao imepungua kwa asilimia 30 ikilinganishwa na mawaziri wa serikali iliyopita, ambapo Sarkozy alijiongezea mshahara kwa asilimia 170 (Euros 19,000 kwa mwezi).
Nadhani yapo tunayoweza kujifunza kutoka baraza la mawaziri kama hili, hasa katika masuala ya uwiano wa kijinsia na kubana matumizi.
Baadhi ya sifa za baraza hili:
- Idadi sawa ya wanawake na wanaume (17 wanawake na 17 wanaume).
- Mawaziri 7 kati yao wana umri chini ya miaka 40
- Mawaziri 7 wana asili ya kigeni, wakiwemo wenye asili ya Afrika ya Kaskazini, Carrebian na Korea.
- Mishahara yao imepungua kwa asilimia 30 ikilinganishwa na mawaziri wa serikali iliyopita, ambapo Sarkozy alijiongezea mshahara kwa asilimia 170 (Euros 19,000 kwa mwezi).
Nadhani yapo tunayoweza kujifunza kutoka baraza la mawaziri kama hili, hasa katika masuala ya uwiano wa kijinsia na kubana matumizi.