ivi jamani wadau, mwanri wamemtema au?
yaaani wale wote waliosababisha akawamwaga vipenzi vyake, basi nao hawatapona ! Gharama ya mawaziri ni kuwa nje baasi ! Ngoja tuone wachezaji wapya kama watapiga tick taka bila mataulo kudondoka !kama nilielewa vizur jk alisema kuwaajibisha wale wote ambao wamehusika katika ubadhirifu ila kuhusu adhabu ya mawaziri sikumuelewa