Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
jana nilipata matumaini baada ya kusoma post ya mwanakijiji kwamba cabinet mpya itakuwa like special forces (SEAL,etc).In military context,hawa sio hata jeshi la mgambo bali ni mithili ya mungiki huko kenya.only hope inabaki kwa kilango,dr chegeni,seleli,simbachawene,etc wakaze buti wakati wa mjadala wa BOT/EPA ili HATIMAYE CHENGE ALAZIMIKE KUJIUZULU MWENYEWE maana JK Hana ubavu wa kumtoa msiri wake.