Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Thanks Pasco
Binafsi naheshimu sana mchango wako
Saa sita ndiyo hiyo
Binafsi naheshimu sana mchango wako
Saa sita ndiyo hiyo
Matarese, hata kama ni kweli kila mtu yuko kwa faida yake, hiyo faida yake si ndiyo faida yenyewe?!, acha watu wapate ulaji, sikilizia majina!.Ah watangaze au wasitangaze, kwa mfumo huu wa CCM na katiba hii hakuna faida ýoyote ya kuwa na Baraza la Mawaziri kwani kila mtu yupo kwa maslahi yake tu!
Namuona Kibonde ndani ya jumba
Asante Baba-Enock, huwezi amini jinsi ninavyoipenda hii kazi ya uandishi, ni njaa tuu ndio imenikimbiza, na kwa vile naelekea kuwa fiti, nitarudi kuifanya kwa mapenzi tuu, bila kutegemea hata senti moja kwenye fani hii.Thanks Pasco
Binafsi naheshimu sana mchango wako
Saa sita ndiyo hiyo
waziri mkuu ndio anaingia