Barak unfazed by criticism from Tanzania

Hizo nchi zinanufaika kwa Bilateral business na Israel pia Israel inavyozisaidia kitekinolojia ukizingatia Israel inaongoza kwa teknolojia nyingi kama za kilimo, defense na madawa kuliko nchi nyingine yeyote duniani unapoona Marekani inapiga hatua au makambora ya Warusi mengi yao yamegunduliwa na wasrael wanaoishi katika nchi hizo.

Unafiki waturuki ni wajinga kuwa na uhusiano wa kijeshi na Israel? Wanajua wanachokipata pia wananufaika kibiashara hata juzi baada ya kuiwekea vikwazo Israel dhidi ya kuua wanaharakati wa Uturuki waliokuwa kwenye flotila ya Uturuki iliyotakiwa kwenda Gaza kutoa misaada ya madawa kwa wapalestina Uturuki imekiri kwa kuiwekea vikwazo Israel inapoteza mamilioni ya dollar kibiashara
 
Hizo nchi zinanufaika kwa Bilateral business na Israel pia Israel inavyozisaidia kitekinolojia ukizingatia Israel inaongoza kwa teknolojia nyingi kama za kilimo, defense na madawa kuliko nchi nyingine yeyote duniani unapoona Marekani inapiga hatua au makambora ya Warusi mengi yao yamegunduliwa na wasrael wanaoishi katika nchi hizo.

Unafiki waturuki ni wajinga kuwa na uhusiano wa kijeshi na Israel? Wanajua wanachokipata pia wananufaika kibiashara hata juzi baada ya kuiwekea vikwazo Israel dhidi ya kuua wanaharakati wa Uturuki waliokuwa kwenye flotila ya Uturuki iliyotakiwa kwenda Gaza kutoa misaada ya madawa kwa wapalestina Uturuki imekiri kwa kuiwekea vikwazo Israel inapoteza mamilioni ya dollar kibiashara
 
.................. hapo bold (red) unaweza kufafanua zaidi ? .................. yaaani kuonyesha kwa ushahidi jinsi yalivyonufaika, haswa Saudia, Indonesia !

Hizo nchi zinanufaika kwa Bilateral business na Israel pia Israel inavyozisaidia kitekinolojia ukizingatia Israel inaongoza kwa teknolojia nyingi kama za kilimo, defense na madawa kuliko nchi nyingine yeyote duniani unapoona Marekani inapiga hatua au makambora ya Warusi mengi yao yamegunduliwa na wasrael wanaoishi katika nchi hizo.

Unafiki waturuki ni wajinga kuwa na uhusiano wa kijeshi na Israel? Wanajua wanachokipata pia wananufaika kibiashara hata juzi baada ya kuiwekea vikwazo Israel dhidi ya kuua wanaharakati wa Uturuki waliokuwa kwenye flotila ya Uturuki iliyotakiwa kwenda Gaza kutoa misaada ya madawa kwa wapalestina Uturuki imekiri kwa kuiwekea vikwazo Israel inapoteza mamilioni ya dollar kibiashara
 
showimage.ashx

photo by: Ariel harmoni / defense ministryby gil hoffman
12/27/2011 19:21

refuses to apologize to african country after it protests being called "irrelevant."



defense minister ehud barak has declined to apologize to tanzania, despite a letter from the african country protesting a barak statement that its representatives in israel found offensive, a barak associate said tuesday.

In an interview with israel radio's ayala hasson last thursday, barak criticized theforeign ministry for warning that adopting the palestinian position on how to advance diplomatic talks would make england, france, and germany irrelevant.


"germany, france and england are not tanzania, mauritania or tripolitania [a region in libya]," said barak, noting places whose names rhyme with england in hebrew. "these are very important, very relevant countries and we don't have an interest in increasing tensions with them or making them bitter enemies."

tanzania's honorary consul in israel, kasbian nuriel chirich, wrote a letter to foreignminister avigdor lieberman condemning barak's remarks and inviting a representative of israel to visit his country.



in this effort to praise theimportance of key countries in europe, he chose to put down tanzania and compare it to a country that doesn't even exist," chirich wrote. "tanzania is the largest country in east africa, rich in natural resources, with a population of some 46 million peace seeking people and a gross domestic product of more than 58 billion dollars.


chirich noted that israel andtanzania have had diplomatic, security, and economic relations since tanzania's independence and that prime minister binyamin netanyahu has recently met african leaders in an effort to deepen ties with the continent amid the strengthening of islamic extremism there.

"tanzania is an important country that israel should not ignore," chirich wrote.

Barak's associates said he did not intend to express regret for his statements abouttanzania, which they said barak had made on multiple occasions.

"maintaining relations with england, germany, and france is indeed more urgent for israel than with tanzania, which has less influence from israel's standpoint," a source close to barak said.



wakushitiwa tu . Hawa ni wana wapotevu na kwa ufupi wana jijua kwamba kabla ya 1948 hapakuwa na kitu kinaitwa israel wala si miaka 1000 iliyopita wala sio baada ya kuzaliwa jesus hapakuwa na kitu kama hicho...wanajijua kwamba ni taifa haramu limewekwa kwa mtutu wa bunduki na mabwana zao ndio maana anawanyenyekea ..na hao mabwana zao wanajua hichi kinachoitwa israel ni haramu kipo kwa sababu ya nguvu zao....huu ndio ukweli lakini sisi watanzania tupo kabla ya 1948....kabla ya jesus kuzaliwa....na kabla ya mussa a.s hajawaokoa utumwani kule misri...sisi tanzania tulikuwepo...na tena hatukuwa watumwa wa mtu yoyote.....
 
kuanzia leo mimi nipo upande wa palestina na mkiendelea kusema kuwa ati israeli ni taifa la mungu basi mimi nawaambia kuwa mungu ha exist

Mt. Ivuga usikufuru bure...... Mungu alikuwepo ..... yupo...... na ataendelea kuwepo....... Ila taifa la Israel ni taifa kama mataifa mengine tu..... mbele za Mungu taifa la Israel ni sawa kama taifa la Togo, Venezuela, Canada, Finland.... n.k..... wanaosema kuwa taifa hilo ni teule ni wale ambao hawajasoma biblia vizuri na ambao wanashikiria mapokeo tu...... halafu pia... niliwahi sema.... hawawezi kuwa taifa la Mungu wakati walimkana Yesu ambaye ni njia na uzima ..... kuelekea kwa Mungu

Hivyo woote tuko sawa mbele za Mungu na tutakuwa taifa lake ikiwa tutatubu dhambi zetu na kuamini kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu.......

 
Hizo nchi zinanufaika kwa Bilateral business na Israel pia Israel inavyozisaidia kitekinolojia ukizingatia Israel inaongoza kwa teknolojia nyingi kama za kilimo, defense na madawa kuliko nchi nyingine yeyote duniani unapoona Marekani inapiga hatua au makambora ya Warusi mengi yao yamegunduliwa na wasrael wanaoishi katika nchi hizo.

Unafiki waturuki ni wajinga kuwa na uhusiano wa kijeshi na Israel? Wanajua wanachokipata pia wananufaika kibiashara hata juzi baada ya kuiwekea vikwazo Israel dhidi ya kuua wanaharakati wa Uturuki waliokuwa kwenye flotila ya Uturuki iliyotakiwa kwenda Gaza kutoa misaada ya madawa kwa wapalestina Uturuki imekiri kwa kuiwekea vikwazo Israel inapoteza mamilioni ya dollar kibiashara
............. Hivi unaweza kuuza nini Israel ili upate mamilioni ya Dollar ?
Je, misaada mikubwa ya kifedha ya Marekni, (mamilioni ya Dollar) ni ya nini katika Taifa linalojiweza kiasi hicho ?
 
Hivi kwanini tuumizwe kichwa na hao walima nyanya wanaotegemea misaada toka US kuanzia chup..,hadi silaha.hawana msaada hapa they can go to hell for all we care
 
............. Hivi unaweza kuuza nini Israel ili upate mamilioni ya Dollar ?
Je, misaada mikubwa ya kifedha ya Marekni, (mamilioni ya Dollar) ni ya nini katika Taifa linalojiweza kiasi hicho ?

Waulize waturuki na nchi zingine zinazoona kuacha kuwa na uhusiano na Israel ni hasara kwao unapoongelea pesa wanazopata Israel kuhusiana na mkataba wa Camp David tatizo liko wapi? hoja hapa haijasemwa Israel ni taifa tajiri hoja ni kwamba nchi zilizo na uhusiano na Israel zinanufaika iwe hiyo pesa ni Israel wamepewa na Marekani au wametengeneza wenyewe. Na sio Israel pekee inanufaika na Camp David treaty pia Miisri inapata dolllar bilioni moja kwa mwaka na Jordan dollar milllion 600 wakati Israel inapata 1.5 bilioni dollars

Kwa taarifa yako Israel inauza technologia mbalimbali na yenyewe inanunua bidhaa mbalimbali kutokana na hiyo pesa ya Marekani unayoisema naona imeisonga sana tahariri yangu kwa Israel unaweza nipa jibu kwanini wapalestina Tanzania imewapigania na Nyerere aliwaongelea sana alipofariki hawakutuma hata waziri kuja msibani kwake? wakati Mfalme Hussein aliyewafukuza Jordan na wakaenda kuishi Lebanon alipofariki walijazana kama sisimizi kwenye msiba wake? Pia Rais Hafidhi Assad wa Syria? kama haitoshi wakahudhuria msiba wa mbabe wao Yaizhaki Rabin? Hii ndiyo hoja ya tahariri yangu.
 
Wapalestina ndio waende jehanamu Israel ipo na itazidi kuwepo hawana cha kuifanya lolote kila waarabu wanapoungana kuivamia inapanuka zaidi maana inachukua ardhi mpya toka kwa waarabu iwe inasaidiwa na Marekani au la ndio mbabe wa middle east wawatumie waturuki na nchi zingine za kiislamu zilizoendelea kuwafukuza waisrael waone moto wake
 
huyu barak aache dharau za kijinga kwani hata wao hawana msaada wowote kwetu.huwezi ukalinganisha umuhimu wa us,uk,scandinavian countries,china kwa tanzania ukilinganisha na israel hivyo kama vipi watupotee tu na hatuwahitaji.ngoja tuanze kuwaita iran waje wavune uraniaum ndo watajua umuhimu wetu kwao.

wewe koma, iran wavune uranium ya nani!
 
....It is a known fact that Israeli "entity" is a racist and facist one! The zionist entity does not think of other countries' rights except those that provide strategic and military support for its existence.There is no doubt that peripheral countries like Tanzania are lesser recognised and even not respected. It should be remembered that, Israeli is treating Palestine as an "Open Air Prison" and it kills people at the pretext of defending Israeli. If they (IDF) could kill at the "pretext" by the help of US and Allied military logistics; what Tanzania could offer to Israeli? It is high time now than ever for Tanzanians to stand firm and cherish her destiny...STOP LAMENTATIONS; IT IS THE TIME FOR TOUGH ACTIONS DESPITE OF OUR POLITICAL STANCE!

Waturuki wanapowaua wakurdi mbona hamsemi kitu tena namba ya wakurdi waliouawa na waturuki ni nyingi kuliko ya wapalestina kuuawa na waisrael kabla ya kutatua mgogoro wa Israel na Palestina tuanza na mgogoro wa zamani kwanza wa wakurdi maana wao wamenyang'anywa ardhi yao na Uturuki, Iran, Iraq na Syria kwa takribani miaka 1300 sasa na hakuna anyewaongelea wala kuwasemea kule Uturuki ni kosa la jinai mkurdi kutumia lugha yake wala kuwa na jina la kikurdi adhabu yake ni miaka kumi jela na kutamka taifa la kikurdi ni adhabu ya kifo. lakini waislamu duniani hawaongele hili swala maana mtesaji wa wakurdi ni muislamu na anayeteswa ni muislamu kwahiyo ni halali matokeo yake wameshupalia mgogoro wa Palestina sababu waisrael ni wayahudi wangekuwa ni waislamu tusingesikia yote haya.

Pili ni ruksa kwa mpalestina kuwa na jina lake la kiaarabu ndani ya Israel pia kutamka taifa la Palestina kitu ambacho wakurdi hawana kule Uturuki, Iran, syria na Iraq.
 
"Tanzania is the largest country in East Africa, rich in natural resources, with a population of some 46 million peace-seeking people and a gross domestic product of more than $58 billion."

so what? sasa hapo kama sio irrelevant na unimportant ni nini? na misaada tunayo ifyatia mkia kama mbwa koko ya kazi gani? wangesema tu ukweli, kuna some 46 million ppl wanao struggle ku ishi kama binadamu wa kawaida, hii "peace" tunayo i seek hapa ni peace ya matumbo na bongo zetu....

amesema kweli mu I srael, hata tukiwa bitter enemies au tukiwa na heavy tension na nchi yao hapataharibika kitu, sana sana itakuwa nafuu kwao maana hatutatarajia hata thumni yao kwenye bakuli letu la ombaomba, tofauti na France Germany na England

 
Back
Top Bottom