Barak unfazed by criticism from Tanzania

Hivi kwa nini sisi hatupendi kusikia ukweli?

Kwa nini tukiambiwa ukweli tunasema tumetukanwa?
Haya ndio maneno yanayowafanya viongozi wetu wajione na wao ni viongozi kumbe ni vilaza. Tumezoea kusikia maneno matamu kutoka kwa Mwakilishi wa Jumuiya Ya Ulaya kwa kuwa anafanya unafiki huo kwa maslahi ya waliomtuma atusifie kutwa kucha ili wao waendelee kupewa migodi yetu.

Barak kasema kweli, nyie kama mna mlaani endeleeni mimi simo. Tim Clarke amezoea kutusifia kwa maslahi ya EU hatusemi, anayekamua jipu letu ndio tunamchukia

Mkuu umenena. Kama wanadhani relevance ya nchi duniani inatokana na "richness in natural resources" hiyo ndiyo habari yao. Wakajipange upya wajifunze HESHIMA ya nchi duaniani inatokana na nini?

Israel is very minute less than even Idodomia lakini heshima na relevance yake duniani inatisha katika nyanja zote hadi siasa zao za ndani tofauti na uchwara za kwetu.
 
Kichuguu,

Maneno mazito sana mkuu wangu nimejikuta nikijiuliza maswali mengi pasipo majibu nini kimejiri baada ya Mwl kuondoka madarakani mbona wanaotuongoza ni wanafunzi wake ?.



Zamani zile mataifa makubwa yalikuwa yanasikiliza sana maneno yanayotoka Tanzania na kuyachukulia kwa uzito mkubwa sana. Ndiyo maana kwa nyakati tofauti, mawaziri wa nje wa nchi kubwa kama Henry Kissinger na Edward Heath walimfuata Nyerere, tena Butiama kukiwa hakuna lami. Leo hii sidhani kama kweli wanaweza kufanya hivyo. China iliingia kwenye security council ya Umoja wa mataifa kwa sehemu kubwa kutokana na msukumo wa Tanzania ambayo wakati huo ilikuwa inajengewa reli ya Uhuru. Maazimio ya Umoja wa Mataifa kuweka vikwazo vya uchumi kwa afrika ya Kusini na Rhodesia yalitokana na mskumu wa Tanzania wakati huo ikiwa mwenyekiti wa Frontline States. Isralei yenyewe ikiwa na kumbukumbu nzuri, itakumbuka kuwa iliwahi kulaaniwa na Umoja wa Mataifa kutokana na msukumo wa Tanzania kama sehemu ya kupinga Ubaguzi wa Rangi huko Afrika ya Kusini na Rhodesia, Ukoloni wa Kireno huko Mzambiki na Angola na Ubaguzi wa Zionism uliokuwa unafanywa na Wayahudi dhidi ya wapalestina.


Leo hii taifa hili haliheshimiwi tena; hata majirani zetu ambao walikuwa wanachukulia maneno yetu kwa uzito hawafanyi hivyo tena. Hatukurogwa ila ni kutokana na maamuzi yetu sisi wenyewe.
 
Zamani nikiwa mdogo nilikuwa naaambiwa Tanzania ni ya pili kwa masuala ya upepelezi (intelijensia) nyuma ya Israel. Sasa ni zaidi ya miaka 25, bila shaka tulishaipita Israel siku nyingi sasa hivi sisi ni kwanza. Nadhani ndo maana huyu bwana anatuone wivu kwa kujaribu kutu ...debase...........Hata hivyo hapati kitu sisi tuko juu awaulize Amin na Uganda........................
 
Taifa hili limejishusha lenyewe, tuna watawala (siyo viongozi) wasiojua taifa linahitaji nini, wala hawajui wafanye nini. Tumeshauza uhuru wetu, ushawishi tuliokuwa nao hatujui ulipotelea wapi na hakuna dalili kuwa tunaweza kurudi ktk nafasi tuliyokuwa nayo. Hatuna wa kumlaumu, tujilaumu wenyewe.
Tumethubutu, tumeweza na tunazidi kusonga mbele.
 
Zamani zile mataifa makubwa yalikuwa yanasikiliza sana maneno yanayotoka Tanzania na kuyachukulia kwa uzito mkubwa sana. Ndiyo maana kwa nyakati tofauti, mawaziri wa nje wa nchi kubwa kama Henry Kissinger na Edward Heath walimfuata Nyerere, tena Butiama kukiwa hakuna lami. Leo hii sidhani kama kweli wanaweza kufanya hivyo. China iliingia kwenye security council ya Umoja wa mataifa kwa sehemu kubwa kutokana na msukumo wa Tanzania ambayo wakati huo ilikuwa inajengewa reli ya Uhuru. Maazimio ya Umoja wa Mataifa kuweka vikwazo vya uchumi kwa afrika ya Kusini na Rhodesia yalitokana na mskumu wa Tanzania wakati huo ikiwa mwenyekiti wa Frontline States. Isralei yenyewe ikiwa na kumbukumbu nzuri, itakumbuka kuwa iliwahi kulaaniwa na Umoja wa Mataifa kutokana na msukumo wa Tanzania kama sehemu ya kupinga Ubaguzi wa Rangi huko Afrika ya Kusini na Rhodesia, Ukoloni wa Kireno huko Mzambiki na Angola na Ubaguzi wa Zionism uliokuwa unafanywa na Wayahudi dhidi ya wapalestina.


Leo hii taifa hili haliheshimiwi tena; hata majirani zetu ambao walikuwa wanachukulia maneno yetu kwa uzito hawafanyi hivyo tena. Hatukurogwa ila ni kutokana na maamuzi yetu sisi wenyewe.
heshima itatoka wapi kwa viongozi wa bei ya sawa na suti tatu?
 
Ukweli ni kuwa heshima yetu imeshuka kwa kasi ya ajabu. Zamani mtu kujitambulisha kuwa wewe ni Mtanzania ilikuwa fahari kubwa na uliheshimika. Jee leo hii hali ikoje? ni aibu tupu na kama hali itaendelea hivi, iko hatari ya watu wetu kutojitaja kabisa kuwa ni wa TZ na huo ndio mwisho wa utaifa wetu.
Turudishe heshima yetu kwa kuwatoa madarakani hili kundi linalotuaibisha.
 
Halafu Waziri Membe anajigamba kwamba tunaheshimika sana nje! Ukweli heshima tulikuwa nayo enzi zile sio sasa wakati huu ambapo hata Viongozi wakuu wa Afrika Mashariki wamesusia Sherehe za Uhuru wa miaka 50. Hata Libya nao wameamua kutupuuza labda mkapa Muhamar Gadhafi atakaporudi tena!
Tanzania ni washamba na wana laana, tulijipendekeza kwa waarabu dhidi ya Israel, mwarabu huyohuyo kamsaidia Idd Amin atupige (Libya na Sudan) badala ya kufurahia kuondoka kwa mnyama Gaddafi mwenzake wa Idd Amin vitani dhidi yetu, tunawakataa wakombozi wa kweli wa watu wa Libya? (NTC) huu ushamba na uoga wa Tanzania ndio maana nchi yetu haipo hata kidogo kwenye ramani ya dunia
 
Tanzania Foreign Ministry is far friendlier to Israel than is William Hague or Nick Clegg...Ehud has it backward
 
Dont forget the one he made if he were an Iranian he would want the bomb, the one Israel lover Ron Paul quoted. Genius
 
ametaja tanzania kwasababu kwa lugha yao ina ryme vizuri na england.ni sawa na diamond alitaja mbagala kwa sababu ya tune ya mziki na msg hakai mbagala angeweza taja kigogo.
nimekaa nje wengi hawaijui tanzania wachache sana tushkuru angalau anaijua barak.bondia lewis alikua judge miss world akakutana na miss tanzania akavutiwa nae akauliza kama anatoka jamaika kwa kua ndo asili yake,akaaambawa tanzania akasema siijui hiyo nchi
 


"Maintaining relations with England, Germany, and France is indeed more urgent for Israel than with Tanzania, which has less influence from Israel's standpoint," a source close to Barak said.



Huyu waziri yuko sahihi.Hizo nchi alizotaja mara nyingi wako nao kuwatetea wakigombana na Palestina.Tanzania wakati mwingi huwa ni kulaani tu Israel ishambulie au ishambuliwe .Waswahili husema akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.Kwenye Dhiki za Israel Tanzania sijui kama tuko nao.Hata wauawe waisrael wangapi na palestina sijui Tanzania kama iliwahi peleka hata salamu za pole hata kama ya kinafiki.Tofauti na hao aliowataja.

Pia sidhani kama ilikuwa sahihi sana kuomba balozi aombe waziri ajibu.Israel ni taifa kubwa si dogo nilitegemea statement ya kuomba apology itoke kwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania angalau kutuma balozi ni sawa na kutuma balozi wa nyumba kumi aomwambie waziri aombe radhi kwa matamshi yake.

Tanzania tunapenda mno kuongea lazima kujua kuwa hata kunyamaza mara ingine ni jibu.Baada ya waziri huyo wa ulinzi kusema hayo aliyosema tungenyamaza.Athari za kunyamaza zingekuwa ndogo kuliko za kusema.

Hivi huyo balozi aliomba mwongozo wizara ya nje kabla ya kusema huyo Barak aombe radhi au ndio wale wakurupukaji wasioona umuhimu wa consultation kabla ya kuongea? Hizi nchi kubwa za wenzetu statement hawatoi ovyo zinachujwa hasa.Hata Huyo BARAK hakuropoka hiyo ni carefully worded statement.Hivyo kuijibu kunataka great thinkers wakae .Ushauri wangu angekaa kinywa.Hata ukitukanwa mara ingine si lazima ujibu.Suala la watu watakuonaje halina maana maisha hayahusiani na watu ni suala la binafsi ukitukanwa kwenye daladala ukanyamaza utafika nyumbani salama bila kung`olewa meno tofauti na ungejibu tusi kwa kuogopa watu wasiokuone mwoga ukang`olewa meno ukarudi huna meno kwenu na watu uliowaogopa usiwaone kukujulia hali.Tanzania ijizoeze mara ingine kunyamaza iwe UN.AU,ETC wanaonyamaza mara ingine si wajinga.

kingadvisor@yahoo.com
 
kaongea ukweli mtupu, umaskini jeuri unatusumbua

vipi tolu member hajatoa kauli bado kuhusu hiyo sentensi ya muisrael??
 
Wakati wa Nyerere hakutudarauliwa hivi. Matunda ya kwenda Hollywood kuonana na akina G-unit, kwenda kuembea ndio haya! Tunafananishwa na nchi amabazo hazi-exist ni dharau ya hali ya juu sana! Angekuwa ni Mwl barozi wa Wayahudi angepewa masaa! Pambafu kabisa!
 
Huyu waziri yuko sahihi.Hizo nchi alizotaja mara nyingi wako nao kuwatetea wakigombana na Palestina.Tanzania wakati mwingi huwa ni kulaani tu Israel ishambulie au ishambuliwe .Waswahili husema akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.Kwenye Dhiki za Israel Tanzania sijui kama tuko nao.Hata wauawe waisrael wangapi na palestina sijui Tanzania kama iliwahi peleka hata salamu za pole hata kama ya kinafiki.Tofauti na hao aliowataja.

Pia sidhani kama ilikuwa sahihi sana kuomba balozi aombe waziri ajibu.Israel ni taifa kubwa si dogo nilitegemea statement ya kuomba apology itoke kwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania angalau kutuma balozi ni sawa na kutuma balozi wa nyumba kumi aomwambie waziri aombe radhi kwa matamshi yake.

Tanzania tunapenda mno kuongea lazima kujua kuwa hata kunyamaza mara ingine ni jibu.Baada ya waziri huyo wa ulinzi kusema hayo aliyosema tungenyamaza.Athari za kunyamaza zingekuwa ndogo kuliko za kusema.

Hivi huyo balozi aliomba mwongozo wizara ya nje kabla ya kusema huyo Barak aombe radhi au ndio wale wakurupukaji wasioona umuhimu wa consultation kabla ya kuongea? Hizi nchi kubwa za wenzetu statement hawatoi ovyo zinachujwa hasa.Hata Huyo BARAK hakuropoka hiyo ni carefully worded statement.Hivyo kuijibu kunataka great thinkers wakae .Ushauri wangu angekaa kinywa.Hata ukitukanwa mara ingine si lazima ujibu.Suala la watu watakuonaje halina maana maisha hayahusiani na watu ni suala la binafsi ukitukanwa kwenye daladala ukanyamaza utafika nyumbani salama bila kung`olewa meno tofauti na ungejibu tusi kwa kuogopa watu wasiokuone mwoga ukang`olewa meno ukarudi huna meno kwenu na watu uliowaogopa usiwaone kukujulia hali.Tanzania ijizoeze mara ingine kunyamaza iwe UN.AU,ETC wanaonyamaza mara ingine si wajinga.

kingadvisor@yahoo.com

Hi, I am a 30 year old hard working, honest family man** and I don't agree with what this** 'gentleman' and his tribe who lives among us** thinks about us. Read on:
" Our race is the** Master* Race. We* are** divine gods on this planet. We** are as* different* from** the inferior races as they** are from* insects. In* fact,** compared to our race,** other races are* beasts* and** animals, cattle at* best.* Other races are** considered* as* human** excrement.(!!!!)Our destiny is* to* rule over* the*** inferior races.
Our earthly kingdom* will* be ruled*** by* our leader with a rod of iron. The* Masses**** will
lick* our feet and serve us as our* slaves**** ."
Former* Israeli Prime Minister* Menachem* Begin** in* a speech to* the Knesseth, the* Israeli* Parlament,** quoted* by Amnon* Kapeliouk,* "Begin* and the** Beasts",* New* Statesman
June* 25,* 1982
This** 'gentleman'* was* awarded the** Nobel Peace** Prize!!! These people obviously** must
have hijacked** the Nobel Prize* Commitees,** which* explains why they** can award* themselves so* many* Nobel* Prizes.
Why is* this man express*ing so* much hate? Calling us non-jews* 'human excrement,* animals and so on ? These*** anti-human racists* and* Talmudists are the enemies* of* mankind IMHO. We even* defend these people, many of our* young men gave their* lives in wars that were fought NOT* in our interest but* the Jew's. We defend Jews, but* they are the most* racist people on earth, why do we* defend these racist* Jews ? WHY IS THIS SO ??
ps: They* claim to be 'The* Chosen People'. Can they prove* that? Do they have* this in
writing , a certified* document ? As long these* Jews can not prove their* claims, we
should consider* them the biggest liars in* human history.
They also say* in their 'holy* scriptures'( Isaiah* 60:12):" For the nation* that will not serve you* (the Jews) shall perish, it* shall be utterly* ruined." So, when they commit* robbery and murder.
 
Weather it is true or not is not the point. He is a member of the Israeli government so he cannot go around insulting other countries to make his point. It was completely undiplomatic and unnecessary.

When members of the US administration mention there "Special Relationship" with the UK they don't at the same time insult Tanzania. Why does Israel feel the need to.
 
When members of the US administration mention there "Special Relationship" with the UK they don't at the same time insult Tanzania. Why does Israel feel the need to.

May be we should have asked ourselves that question instead of asking Ehud BARAK
 
Hawa jamaa ingekuwa enzi zile za "masikini jeuri" balozi wa Israel nchini Tanzania kwa sasa angekuwa uwanja wa ndege akirudi nyumbani....[/QUOTE said:
Israel haina balozi (wala ubalozi) Tanzania. Mambo yao ukiyataka sharti uende Kenya. Walishafunga ubalozi wao kitambo baada ya Tanzania kuchangmkia dili la kuwaunga mkono Wapalestina. Hata hivyo tuna kila sababu ya kujiuliza maswali magumu. Hivi kweli ni nini umuhimu wa Tanzania kwa Israel? Tumekuwa chanzo kikubwa cha matamko ya kuilaani na kuishutumu Israel mara nyingi. Katika hali kama hiyo tusitegemee Israel ituheshimu au itupende. Waswahili tunajua kwamba, "Asiyekupenda hakuchagulii tusi".
Kwa upande wa Tanzania naamini Israel bado ina umuhimu kwetu. Mtakumbuka kuwa hata mgombea uraisi wa chama chetu aliwahi kuwaahidi kuendeleza bonde la Ruvu kwa kutegemea msaada na technolojia kutoka huko Israel. Halikadhalika tuna kundi kubwa la waumini ambao dini yao ina asili na Israel na hija yao inawataka wafike huko. Pamoja na yote hatukustahili dharau kiasi hiki. Ila katika mazingira yaliyopo "Asiyekupenda hakuchagulii tusi".
 
Tunasubiri statement ya Membe. Tunategemea KAULI KALI sawa sawa na alivyomkaripia na kumwagiza Balozi wa Libya kupandisha bendera ya Gadafi haraka badala ya ile ya Serikali ya "waasi".

Mlizoea kuonea vidagaae? Papa hilo sasa, chezeni nalo. Humu ndani napo: Zanizbar ni nchi, Zanzibar sio nchi. Kumbe wenzetu wanatuona mabwege tu - TANZANIA is IRRELEVANT.


Yes, TANZANIA is IRRELEVANT; we need to ask ourselves what went wrong to the extent of being downgraded like this!
 
Huyu waziri yuko sahihi.Hizo nchi alizotaja mara nyingi wako nao kuwatetea wakigombana na Palestina.Tanzania wakati mwingi huwa ni kulaani tu Israel ishambulie au ishambuliwe .Waswahili husema akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.Kwenye Dhiki za Israel Tanzania sijui kama tuko nao.Hata wauawe waisrael wangapi na palestina sijui Tanzania kama iliwahi peleka hata salamu za pole hata kama ya kinafiki.Tofauti na hao aliowataja.

Pia sidhani kama ilikuwa sahihi sana kuomba balozi aombe waziri ajibu.Israel ni taifa kubwa si dogo nilitegemea statement ya kuomba apology itoke kwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania angalau kutuma balozi ni sawa na kutuma balozi wa nyumba kumi aomwambie waziri aombe radhi kwa matamshi yake.

Tanzania tunapenda mno kuongea lazima kujua kuwa hata kunyamaza mara ingine ni jibu.Baada ya waziri huyo wa ulinzi kusema hayo aliyosema tungenyamaza.Athari za kunyamaza zingekuwa ndogo kuliko za kusema.

Hivi huyo balozi aliomba mwongozo wizara ya nje kabla ya kusema huyo Barak aombe radhi au ndio wale wakurupukaji wasioona umuhimu wa consultation kabla ya kuongea? Hizi nchi kubwa za wenzetu statement hawatoi ovyo zinachujwa hasa.Hata Huyo BARAK hakuropoka hiyo ni carefully worded statement.Hivyo kuijibu kunataka great thinkers wakae .Ushauri wangu angekaa kinywa.Hata ukitukanwa mara ingine si lazima ujibu.Suala la watu watakuonaje halina maana maisha hayahusiani na watu ni suala la binafsi ukitukanwa kwenye daladala ukanyamaza utafika nyumbani salama bila kung`olewa meno tofauti na ungejibu tusi kwa kuogopa watu wasiokuone mwoga ukang`olewa meno ukarudi huna meno kwenu na watu uliowaogopa usiwaone kukujulia hali.Tanzania ijizoeze mara ingine kunyamaza iwe UN.AU,ETC wanaonyamaza mara ingine si wajinga.

kingadvisor@yahoo.com


Hiyo phrase ya mwisho mkuu umeuwa ! unanikumbusha ya kunguru mwoga kuepusha bawa lake.
 
Back
Top Bottom