Barabara za mawe Mwanza

Haika

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,348
559
Nimebahatika kuona documentary ya kuhusu barabara za mawe Mwanza. Nimepata faraja kubwa sana kujua kuwa sio kila kitu Tanzania kinayumba, ila kuna wataalamu wanajitahidi kufanya mambo ya maana.
Big up wahusika wote!
Msiachie hapo, mkuu wa mkoa kama mwanasiasa mkuu wa mkoa tunategemea uhamasishe wenzako wa mikoa mingine yenye raslimali ya mawe kama arusha ambayo haina barabara ianze, ichukue vijana wakajifunze na kuhamishia ujuzi tanzania nzima, nadhani kuwa baada ya muda hawa vijana mafundi wa mwanza watakuwa walimu wazuri na uchumi wao utaimarika, kwanini wasifanye part time VETA kufundisha?
 
Nimebahatika kuona documentary ya kuhusu barabara za mawe Mwanza. Nimepata faraja kubwa sana kujua kuwa sio kila kitu Tanzania kinayumba, ila kuna wataalamu wanajitahidi kufanya mambo ya maana.
Big up wahusika wote!
Msiachie hapo, mkuu wa mkoa kama mwanasiasa mkuu wa mkoa tunategemea uhamasishe wenzako wa mikoa mingine yenye raslimali ya mawe kama arusha ambayo haina barabara ianze, ichukue vijana wakajifunze na kuhamishia ujuzi tanzania nzima, nadhani kuwa baada ya muda hawa vijana mafundi wa mwanza watakuwa walimu wazuri na uchumi wao utaimarika, kwanini wasifanye part time VETA kufundisha?

Tatizo la tz hua nikichwa cha mwendawazimu hawawezi kuendeleza mambo ya msingi kama hayo.
 
Amma kweli kipofu akiona Punda. Hizo barabara za mawe zipo duniani kuanzia 2000 BC, miaka 2000 kabla ya Kristo.

Sisi tunaona ajabu leo hii? wenzetu leo wanaweka barabara za vioo na barabara za sumaku, sisi ndio tunaanza kwa hizo na tunajivunia? tupo miaka 4,000 nyuma ya wenzetu. Huo ndio ukweli.

303171_orig.jpg
MG_4116.jpg


Soma zaidi: World's Oldest Paved Road Found in Egypt - NYTimes.com
 
Back
Top Bottom