FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,058
- 40,721
- Thread starter
- #21
Alikanyaga nn kwan?Kweli Mkuu hali halisi ndiyo hiyo,, walimpiga mshkaji wa palepale kariakoo ni mfanya biashara maeneo ya pale mtaa wa agrey
Alikanyaga nn kwan?Kweli Mkuu hali halisi ndiyo hiyo,, walimpiga mshkaji wa palepale kariakoo ni mfanya biashara maeneo ya pale mtaa wa agrey
Wamejitumbua wenyewe..Kuna jamaa kauwawa hapo Leo
Alikanyaga bidhaa zilizopangwa barabarani.
Machinga wakampiga na kumchoma kisu.
So chinga wamekimbia.
Atakayekamatwa hapo anapewa murder case
Tabia zao zilinifanya nisusie bidhaa zaoSi leo
Jamaa alikanyaga bidhaa za hao wauaji, yakajitokeza majibizano ndio jamaa akatoka ndani ya gari mjinga mmoja akamtia kisu akachomoa na kumchoma tena hadi akafa, gari wakaliharibu kwa mawe....
Polisi wamekasirika hatakiwi mbwa pale......
Inabidi watu waache nunua bidhaa za hao watu
yah true mkuuNilipita mitaa hiyo, nikasikia watu wakisema kama walimpiga (kuua) dreva wa gari fulani usiku wa jana. Aligonga boda boda ... Sasa wamachinga kwa kushirikiana na boda boda wakampiga (kuua). Sasa, kwa tukio hilo wakajipa tiketi ya kuondoka hapo. Maana serikali ilikuwa inaumiza kichwa namna ya kuwaondoa. Wamerahisisha kuondolewa kwao. Yaani peupeee!
Teh teh....Asubuhi ulipita tabata ukakuta ajali, ukaomba taarifa zaidi. Sasa hivi umepita msimbazi na bado unaomba taarifa zaidi, C2pd.
Hahahaha anashidaAsubuhi ulipita tabata ukakuta ajali, ukaomba taarifa zaidi. Sasa hivi umepita msimbazi na bado unaomba taarifa zaidi, C2pd.
Duu kwa gharama ya maisha ya mtu!Nilipita mitaa hiyo, nikasikia watu wakisema kama walimpiga (kuua) dreva wa gari fulani usiku wa jana. Aligonga boda boda ... Sasa wamachinga kwa kushirikiana na boda boda wakampiga (kuua). Sasa, kwa tukio hilo wakajipa tiketi ya kuondoka hapo. Maana serikali ilikuwa inaumiza kichwa namna ya kuwaondoa. Wamerahisisha kuondolewa kwao. Yaani peupeee!
HahahahahaaAsubuhi ulipita tabata ukakuta ajali, ukaomba taarifa zaidi. Sasa hivi umepita msimbazi na bado unaomba taarifa zaidi, C2pd.
Bila kuomba taarifa zaidi ningeyajua yote haya ya mtu kukanyaga bidhaa na kupoteza Maisha?Asubuhi ulipita tabata ukakuta ajali, ukaomba taarifa zaidi. Sasa hivi umepita msimbazi na bado unaomba taarifa zaidi, C2pd.
Yaan kko itakuwa kama ulayaBorat69, post: 15298079, member: 88859"]Nafikiri huu ni wakati muafaka kwa mamlaka husika kuwasafisha hawa shenzi kutoka Kariakoo na mjini. Wapelekwe kinguvu kwenye maeneo husika waliyotengewa kufanyia shughuli zao. Kama hawataki warudi vijijini kulima. Hawa Machinga ni ticking time bomb.
Ushaambiwa atakae thubutu kurudi anabebeshwa hiyo murder case