Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,109
(I believe those stone cairns in the picture above mark a spot
where vehicles have gone off the road.)
Hapo swala la msingi sio kufurahisha nafisi kwa kuona hizo picha na kulinganisha na mazingira unayoyafahamu. Linalotakiwa hapo ni kutafakari njia zako za maisha na kisha kujipanga kupabmbana na vikwazo unavyokutanan navyo katka maisha na hatimaye kifo chemaHii inafanana na ile ya kwetu, kutoka Njombe kwenda Ludewa, ni hatari!...
Hapo swala la msingi sio kufurahisha nafisi kwa kuona hizo picha na kulinganisha na mazingira unayoyafahamu. Linalotakiwa hapo ni kutafakari njia zako za maisha na kisha kujipanga kupabmbana na vikwazo unavyokutanan navyo katka maisha na hatimaye kifo chema
Khaaa.Hiyo barabara ni hatari.Imagine gari limefeli breki au limeharibika ghafla...