Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Wapendwa wana JF nilikwama kwenye Foleni ya Magari Maeneo ya Africana kuanzia saa 7 na nusu na ndio nimefanikiwa kufika Boko muda huu baada ya kupita BODA KWA BODA ile inayopita Kilongawima maarufu( Kwa Mwamnyange) kufuatia maji mengi ya mvua yanayotoka maeneo ya Salasala Jogoo hivyo ninawasihi wanaotoka mjini kupita pale na wanaotoka Tegeta watafute njia Mbadala!