Kituku
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 238
- 24
WanaJF
Kuna mjadala unaondelea kuhusu proposed road ya serengeti mimi inanikanganya kidogo, maana naona sasa wanamazingira na wanawananyama kama kina Goodall wameingilia kati kumtaka raisi abadili root ya huko mbugani ipelekwe south ya mbuga kidogo...na ninavyosoma maoni ya wanaMara wanataka barabara ipitie serengeti. hawaoni kama kunashida yoyote.
Mimi ninakanganyikiwa na haya hapa...
Kuna mjadala unaondelea kuhusu proposed road ya serengeti mimi inanikanganya kidogo, maana naona sasa wanamazingira na wanawananyama kama kina Goodall wameingilia kati kumtaka raisi abadili root ya huko mbugani ipelekwe south ya mbuga kidogo...na ninavyosoma maoni ya wanaMara wanataka barabara ipitie serengeti. hawaoni kama kunashida yoyote.
Mimi ninakanganyikiwa na haya hapa...
- Je ile barabara ya mikumi -Iringa haijapita mbugani? mbona hakuna kesi kubwa hivyo za madhara ya wanyama?
- Je hakuna taratibu zitakazowekwa hapo mbugani (mf matuta na alama) za kuepuka hayo madhara.
- Na hao wananchi wa mara wanaolazimisha ipite mbugani je hiyo option ya pili inayopendekezwa kupitisha road ina effect yoyote?