Babu Ubwete
Senior Member
- Jan 26, 2008
- 169
- 29
Barabara nting zimechimbuliwa na kuanza kuchongwa kwa malengo ya kujengwa upya, Serekali inayotegemea wafadhili inayo fedha ya kuzijenga au kuna usanii wa wachache kutaka kula maana kila project mpya huwa kuna pesa ya upembuzi yakinifu,Tender,Fidia. Nadhani Magamba wanaipiga hii pesa kwa ajili ya kampeni 2015 na hawana nia ya dhati ya kutengeneza Barabara. Macho tunayo tutaona kama kweli njia ya Kimara itarudi katika hali nzuri. Na ni kwanini matengenezo haya yaanze muda huu.