real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
hahaaaa hii nimeipenda, haina haja ya uchaguzi maana mwisho wao umeshafikaHaaaaahaaa... nimecheka sana, kuhama na CCM kwenda new AFROASIA CONTINENT ni sawa na kuhama na gunia la siafu. Haina haja ya uchaguzi tena Zanzibar, maana mwisho wake umefika.
waanze kuhamia huku bara fasta