Bara la Afrika lazidi kupasuka vipande

Siyo rahisi....Bonde la ufa linaikata Tanzania na baadhi ya nchi ili zitengeneze hicho kipande kama bara. Siyo rahisi kwa sababu shughuli za kibinadamu zinaweza kuhamisha bahari, lakini utafiti wake unaonyesha bahari inavamia makazi ya watu haiwezi kutokea hata kama ingechukua miaka mingi. Ni rahisi kusema bahari inazidi kupungua kuliko kusema bahari inazidi kuongezeka labda ihame!?
 
Mungu alishamaliza uumbaji tayari kinachotokea sasa ni uzee na kukongoloka kwa dunia... Mtu Mzee akikongoloka meno huo si uumbaji bali ndio bye bye hiyo
Kumbuka msemo wa wahenga..hujafa hujaumbika.
 
lakini utafiti wake unaonyesha bahari inavamia makazi ya watu haiwezi kutokea hata kama ingechukua miaka mingi.
Labda hulijui hili bara vizuri..sehemu kubwa ya bahari ya hindi ilikuwa nchi kavu yenye misitu minene.yaani Gondwana.. Mchakato wa bahari kumeza ardhi na viumbe vlivyomo ni kitu cha kawaida na hasa linapotokea tetemeko kubwa. Mchakato huu ndio huwa chanzo cha gesi asilia na mafuta.
 
Labda hulijui hili bara vizuri..sehemu kubwa ya bahari ya hindi ilikuwa nchi kavu yenye misitu minene.yaani Gondwana.. Mchakato wa bahari kumeza ardhi na viumbe vlivyomo ni kitu cha kawaida na hasa linapotokea tetemeko kubwa. Mchakato huu ndio huwa chanzo cha gesi asilia na mafuta.
Hili swali nilikua najiuliza muda mrefu sana hasa kuhusu ziwa lukwa.
Nilikua najiuliza mbona lile ziwa linavisiki vingi sana. Lakini leo nimepata jibu nashukuru sana
Mdau kwa mchango wako
 
in-africa-born-ocean-afar-triangle-photo_1.jpg

Kwa wale tunaoishi karibu na bonde la ufa -Rift valley, hili halitushangazi,kwani haipiti mwezi bila tetemeko la ardhi kutokea.Lakini ni dalili kwamba bara la Afrika linameguka ,tena kwa kasi.
Kwa mujibu wa utafiti unaofanywa na Dr James Hammond katika eneo lililopewa jina la Afar Triangle ambako ardhi imeanza kuzama na kuanza kutengeneza umbo linaloonekana kama maandalizi ya kuibuka kwa bahari itakayolitenganisha na kulipasua bara la Afrika katika mapande mawili. ni dhahiri kuwa muumba wa mbingu na ardhi bado hajamaliza uumbaji.
300px-EAfrica.png

600x600

Kwa mujibu wa utafiti huu pande moja (plate) litazibeba nchi za Afrika mashariki..Tanzania,Kenya,Ethiopia,Somalia ,Uganda ,Rwanda ,Burundi na sehemu ya Msumbiji. Mpasuko huu utapita na kufuata maziwa makuu ya Tanganyika,Nyasa,Albert, Kivu na Edward.
300px-Albertine_Rift%2C_East_African_Rift_%28artificial_rendering%29.jpg

Ingawaje mpasuko huu ni wa milimita chache kwa mwaka lakini mtafiti huyu anasema kasi hii ni kubwa kuliko sehemu yoyote duniani.View attachment 321738
Ila kawatoa hofu waafrika ..kwani mipasuko kama hii huchukua mamilioni ya miaka mpaka kukamlika. Lakini mwenyezi mungu huwa hana ahadi na yeyote. Akitaka litimie basi litatimia hata sasa.. hakuna wa kuzuia.

Giant crack in Africa formed in just days

Scientists are sounding the alarm: the mysterious cracks appear across the planet

Kwa waliosoma Plate Tectonics na Isostasy (Isostatic Equilibrium) hawatapa ugumu kuelewa kinachoelezwa hapa, hasa ukizingatia swala zima la Global warming na kasi ya kuyeyuka kwa theluji kubwa za Arctic & Antarctica
 
Kwa waliosoma Plate Tectonics na Isostasy (Isostatic Equilibrium) hawatapa ugumu kuelewa kinachoelezwa hapa, hasa ukizingatia swala zima la Global warming na kasi ya kuyeyuka kwa theluji kubwa za Arctic & Antarctica
Uko sahihi..tunatembea juu ya tectonic plates.
CaiOdPVUYAAoGXS.jpg
 
Ni bora tumeguke tuunde bara letu tutapata nafasi ya kushiriki KUMBE LA DUNIA na baadhi ya michenzo mingine inayotoa wawakilishi wa mabara.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom