Wakuu wana JF naomba kupatiwa taarifa kama kuna anayejua kama barabara niliyo itaja imekamilika au la kwani ni muda mrefu tangu nipite njia hiyo miaka ya 1998.
Nakumbuka kuna ile ya kupitia chato kwenda muleba lakini sijui hii ya kutoka uganda kupitia bukoba, muleba, bimlo na hatimaye kuungana na inayotokea Rwanda/Burundi pale Lusahunga.
Nakumbuka kuna ile ya kupitia chato kwenda muleba lakini sijui hii ya kutoka uganda kupitia bukoba, muleba, bimlo na hatimaye kuungana na inayotokea Rwanda/Burundi pale Lusahunga.