Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
yes, ujasiriamiili
umejibu vema mkuu......hili eneo watu walikua wanauza vyao wanaingiza kipato kikubwa tu kwa siku.......
yes, ujasiriamiili
Sasa mambo kinondoni kwa ashura
umejibu vema mkuu......hili eneo watu walikua wanauza vyao wanaingiza kipato kikubwa tu kwa siku.......
Uwe unasoma nyuzi jf mara nyingi, kama vipiGONGA HAPA, MAPICHA KIBAO
Bar maarufu ilioko Magomeni Mapipa sasa imevunjwa kutokana na uapanuzi wa barabara kwa sasa
zile huduma zote zilizokuwa zikipatikana pale kwa sasa hamna ukifika pale usiku utakutana jengo limevunjwa na polisi jamii wakiwa wameweka doria eneo hilooo
sasa ambiance gharama sana mkuu...ngoja niamie kimboka tu japo fujo nyingi sana mitaa ile......
daa unakumbuka kile kikundi cha kanga moja ndembe dembe laki si pesa wakitumbuiza pale njee watu walikuwa wanajaaaaa
Yupo kinondoni mtaa wa pili kutoka American Chips amefungua Pub pale ukienda utamkuka.
Bar maarufu ilioko Magomeni Mapipa sasa imevunjwa kutokana na uapanuzi wa barabara kwa sasa
zile huduma zote zilizokuwa zikipatikana pale kwa sasa hamna ukifika pale usiku utakutana jengo limevunjwa na polisi jamii wakiwa wameweka doria eneo hilooo
Hivi machangu grade A wanapatikana wapi?
Sasa mambo kinondoni kwa ashura
mkuu unaishi mjini au uko mkoani??