Kulikuwa na mambo gani mengine zaidi ya pombe?kwa hiyo mkuu yale mambo yetu ndio hamna tena??
Kulikuwa na mambo gani mengine zaidi ya pombe?
Najenga kanisa mahali hapo.
Unakumbuka silent inn mwenge? Sasa ni kanisa!!!
kwa hiyo mkuu yale mambo yetu ndio hamna tena??
mkuu unaishi mjini au uko mkoani??Kulikuwa na mambo gani mengine zaidi ya pombe?
sasa ambiance gharama sana mkuu...ngoja niamie kimboka tu japo fujo nyingi sana mitaa ile......hamnaaaa tena mpaka uende ambiance au lambo manzese palee