Mkuu sasa mimi huko naona unaenda mbali. Kwa sasa the ban is lifted, anaweza kuchangia kama member wengine, ila ile role ya u-Mod nimemuondolea.
Haa haa haa! Hairuhusiwi kuexpose mshahara wa mwajiriwa hadharani! Hata hivyo kwa kawaida mishahara huwa inaenda inapanda au inabaki pale pale. Sijawahi kusikia kampuni fulani imempunguzia mwajiriwa wake mshahara, sana sana itapunguza wafanyakazi!Na kamshahara kake vipi umekipunguza ua ndio vilevile
Uh.
I thought am serving a ban kumbe is a joke. But am around watching and moderating.
I thought am serving a ban kumbe is a joke. But am around watching and moderating.
Haa haa haa! Hairuhusiwi kuexpose mshahara wa mwajiriwa hadharani! Hata hivyo kwa kawaida mishahara huwa inaenda inapanda au inabaki pale pale. Sijawahi kusikia kampuni fulani imempunguzia mwajiriwa wake mshahara, sana sana itapunguza wafanyakazi!
Wanaogopa kivuli chako Paw!