Nini papai....kuna konokono anatwanga watu za maisha....
Banned: RR
Reason: TGIF
Duration: Till 50% sober
Wewe mtu mzima una post elfu 14 pumba tupu,sasa hii thread ina maslahi gani kwa Taifa? nyie ndio mnaotucheleweshea maendeleo yetu
Wewe mtu mzima una post elfu 14 pumba tupu,sasa hii thread ina maslahi gani kwa Taifa? nyie ndio mnaotucheleweshea maendeleo yetu
.....................Asprin haiwi banned ila in expire,......................sijui MEdical Stores Dept.................kama wapo makini kiasi hiki?Reasons: Kujipendelea wajukuu, kushabikia mila na kuukosoa ubazazi.Period: 1 weekZingatia sheria na kanuni za JF.Onyo: Atakayepinga hii BAN naye anapigwa BAN.Wengine wote muwe na weekend njema.================Ban prolonged to 2 weeks
Banned: zumbemkuu[h=2]Banned: Asprin........ Ban prolonged to 1 year[/h]Reasons: asked for ban.
Period: 1 week
Zingatia sheria na kanuni za JF.
Onyo: Atakayepinga hii BAN naye anapigwa BAN.
Wengine wote muwe na weekend njema.
================
Ban Gani hiyo mbona bado unachungulia weye
Babu unazeeka vibaya
haha umemuweza! Teh teh!
Hahahahahah lol! nilikuwa sijui kama wanachama wanaweza kujifungia wenyewe hebu nipe maujuzi ya kujifungia (kitufe kipi unabonyeza hahahahah lol!) ili uweze kujifungia badala ya kuwasumbua MODS. Unamwaga razi (isomeke radhi) jamvini halafu unajifungia kama kwa mwezi mzima hivi
Nini papai....kuna konokono anatwanga watu za maisha....
Banned: RR
Reason: TGIF
Duration: Till 50% sober
PAW, rudisha mabandiko yangu tafadhali ohooo!
Natema mate chini na kabla hayajakauka niyaone mabandiko yangu hapo.
Wee tuache turaruane huku tutiane adabu bana!
Huyo mi sijamtambua bado aisee.In that case i like konokono too!
Chezea hapa uone....
Kudadeki...kumbe nina ban yangu.....!
Yako iko wapi?Anyway nimemuona! Mi nayataka mabandiko yangu seriously! Kuna watu humu wanataka tu usitofautiane nao, if u dare to, lazima wakutusi.Sasa sikopishi mtu hapa, tit for tat! Bring it on and i will dance to the rythm!
Kudadeki RR.Huna MM huku mwanza?
Babu, hata mimi na-second ur ban...
Aspirin: Banned
Reason: Anaiba wake wa wajukuu zake
Duration: Mpaka kieleweke
Ukisikia kumix ndo huko.
Mbona utamaliza woote sasa!
Nimeomba ban nimenyimwa, nimejiamulia.Babu huishiwi visa wewe, sasa umejipiga yelo kadi iliyochanganyika na redi humohumo..... Hahahhaah hahahah hahhah
Wewe mtu mzima una post elfu 14 pumba tupu,sasa hii thread ina maslahi gani kwa Taifa? nyie ndio mnaotucheleweshea maendeleo yetu
Wiselady-BannedReason-Anaomba utamu kwa babu thru pikinikiDuration-till faza notisimh! ODM bana! Hii ban itaongeza nafasi ya cc kuinjoy picknick...
Dah! Nguli mpaka ww! Hata hivyo bado tunakusubiri pande hizi ujue?hope no more ban...Wiselady-BannedReason-Anaomba utamu kwa babu thru pikinikiDuration-till faza notisi
Umeshaniandalia makao?mh! ODM bana! Hii ban itaongeza nafasi ya cc kuinjoy picknick...
Hehehe........ jipige BAN na wewe basi tukutane huku lupango......huwezi jua mipango ya Mungumaendeleo unajichelewesha mwenyewe kwa kujifanya siriaz sana kumbe hufanyi kitu. amka wewe usinziae.
babu hebu usile ban banaaa. kama jina lako lilivyo ASPRIN!!!!!!!! kitulizo cha maumivu. hahhahaha ukila ban hapa JF maumivu yatazidi. afu hatutapata ushauri wa daktari.
Khaaa!Wiselady-BannedReason-Anaomba utamu kwa babu thru pikinikiDuration-till faza notisi