Bankers wanahitajika..

Umefanya uungwana kwa apology uliyotoa. Hata hivyo ulichokifanya sioni kama ni makosa kwa upande mwingine, maana kuna matapeli wachache wanaendelea ku-capitalise kwenye ukosefu wa ajira
 
Kwa nini hukufanya uchunguzi kwanza ndio uongee?? unakuwa kama serikali ya Tz.....kukurupuka tu...wakija wakijua ukweli huwa wanakuwa wadogo kama Priton....

Hakukua na Haja ya Uchunguzi ww kilaza coz huyo jamaa katoa fake email tena kaandika uba recruit hiyo huwezi kueleweka hata kidogo lakini jamaa baada ya kukiri kuwa ame create hapo ndo nikaenda to the next step ya kufanya analysis.
 
Tatizo ni kwamba hukutaka kusikiliza utetezi wake. majany alishazungumza mapema kwamba lile tangazo ni internal advertisement....kwa kawaida, internal advertisement ni maalumu kwa wafanyakazi wenyewe na labda, akikosekana mtu miongoni mwao; huwa wanapigiana mapande ndugu kwa ndugu!! alichofanya majany, ni kutoa mchongo kwa members wa JF....mimi siamini kwamba katika dunia hii kuna graduate ambae anaweza kukosa ndugu ama washikaji wa kuambia kwamba kuna mchongo mahali....! Hata hivyo, badala ya kuwaambia washikaji peke yake, majany akaamua kutushirikisha hata hakina sie tusiejuana nae.

Na hilo la kutumia domain ambayo sio ndiyo, u may have a point; lakini usikariri! Na kama alivyosema majany, baadhi ya email domain za baadhi ya makampuni, huwa haziruhusu email kutoka nje. Hata mimi, kuna sehemu nilikuwa nafanya kazi....any outside email, haiwezi kuingia through email address ya hiyo kampuni. Ni jambo la kawaida sana hilo....hususani kwa mabenki!

All in all, big respect for your apology!

Mkuu well said naomba utambue kua nina akili timamu lakini ukiteleza kidogo tu nakua ckuelewi nyie watu wanaibiwa sana tena humuhumu JF
 
Karibu na hongera kwa kuwa muungwana, common sense ilikua inasema hakuna wizi wowote kwa hili, nilikuasioni ni vipi mtoa mada anaweza kukutapei kwa mazingira haya

Asante sana mkuu kwa kuyaona haya nadhani unachotakiwa kuelewa matapeli mjini ni wengi na mbinu zao ni kama hizi. Nashukuru majany amejieleza vizuri mpaka nikashawishika ku prove na nimeona mkuu alikosea approach kidogo ikaonekana ina zengwe. mara PM mara fake mails nikaona hii sio ishu.
 
Last edited by a moderator:
Sio ishu,km vp tu'close hii mambo tukajadili vitu tofauti.......Leo Mh.Wenje kawaambia Magamba kwanba ni narrow minded.....I vote the man to be right..
 
Sio ishu,km vp tu'close hii mambo tukajadili vitu tofauti.......Leo Mh.Wenje kawaambia Magamba kwanba ni narrow minded.....I vote the man to be right..

bado wewe, dealine lini? nimeku-email, upata mail yangu?
 
mkuu watu wengi hawaja meet vigezo....please send your apps....bt nafikiri in two weeks time...wataanza kuita watu wengine.
 
Hakukua na Haja ya Uchunguzi ww kilaza coz huyo jamaa katoa fake email tena kaandika uba recruit hiyo huwezi kueleweka hata kidogo lakini jamaa baada ya kukiri kuwa ame create hapo ndo nikaenda to the next step ya kufanya analysis.

Kati ya mimi na wewe aliyeonekana kilaza katika hili ni nani?? kama mimi ni kilaza wewe utakuwa nani??......akili mgando!!
 
Kati ya mimi na wewe aliyeonekana kilaza katika hili ni nani?? kama mimi ni kilaza wewe utakuwa nani??......akili mgando!!

Mie na akili mgando lakini wewe nadhani una matope na sio akili. Ni bora ungekua na akili ya aina yoyote ile ningekuona ahueni lakini hamna kitu hapo.
 
Mie na akili mgando lakini wewe nadhani una matope na sio akili. Ni bora ungekua na akili ya aina yoyote ile ningekuona ahueni lakini hamna kitu hapo.

Ulivyopiga kelele kuwa unaibiwa utafikiri una hela ya kuibiwa.....kumbe unaganga njaa tu......
 
Ulivyopiga kelele kuwa unaibiwa utafikiri una hela ya kuibiwa.....kumbe unaganga njaa tu......

Kuna mtu asiyeganga njaa hapa duniani wote tunahangaika hapa mjini ili tusife njaa Invisible daily anakesha anakodoa macho kwenye pc asife njaa labda unaelewa nn maana ya kuganga njaa?

Naweza kukufananisha na Mchumi daraja la kwanza ww
 
Back
Top Bottom