Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
wanajf naomba wenye taarifa za kibenk nakoweza pata personal loan bila longolongo za momorandam of understanding kati ya employer na Bank. mabenk mengi naona hawakubali kukopesha kama hamna makubaliano kati ya mwajiri na bank hata kama mshahara wangu unapita katika hiyo bank,
kama yupo aliyeweza kupata kwa njia tofauti na hiyo naomba atujulishe na kwa mashariti yapi mbadala!................. waajiri wengi ni wagumu kusign makubaliano na mabank wanaroho mbaya sana)
kama yupo aliyeweza kupata kwa njia tofauti na hiyo naomba atujulishe na kwa mashariti yapi mbadala!................. waajiri wengi ni wagumu kusign makubaliano na mabank wanaroho mbaya sana)